Kinyungu
Platinum Member
- Apr 6, 2008
- 21,594
- 42,926
Akili za Lucy Anthony hiziUpinzani Tanzania ulale pema peponi.
Hakuna tena matumaini ya kufufuka. Alisikika kiongozi wao akiomba jumuia za Kimataifa kuongoza nchi kwa serikali mseto ila CCM wasiwepo kwenye huo mseto.
Kauli ile ndio ilikuwa karata yao ya mwisho kabla kupigwa Three people let us count our cards.
Bahati mbaya wananchi wakaipuuza ile kauli na kuona sura halisi ya upinzani.
RiP upinzani. Sasa hivi kitu ambacho watakifanya ni kudandia kila jambo linalotokea mpaka 2030.