RIP Upinzani

Samia atosha tukutane2030

JF-Expert Member
Joined
Apr 7, 2020
Posts
17,172
Reaction score
48,689
Upinzani Tanzania ulale pema peponi.

Hakuna tena matumaini ya kufufuka. Alisikika kiongozi wao akiomba jumuia za Kimataifa kuongoza nchi kwa serikali mseto ila CCM wasiwepo kwenye huo mseto.

Kauli ile ndio ilikuwa karata yao ya mwisho kabla kupigwa Three people let us count our cards.
Bahati mbaya wananchi wakaipuuza ile kauli na kuona sura halisi ya upinzani.

RiP upinzani. Sasa hivi kitu ambacho watakifanya ni kudandia kila jambo linalotokea mpaka 2030.
 
Ukiwa ccm akili unakuwa huna pili unakuwa hujastarabika, tatu unakuwa mjinga na nne upo kwenye danger zone
 
RIP upinzani huku umebana pia?
 
 
Yaani pale ndipo nilimuona heche kuwa ni mbuzi
"YAANI WAZUNGU WAJE KUONGOZA SERIKALI YA MSETO TANZANIA?"
huyu aliona wapi haya?

kama haya ndo mawazo ya upinzani, basi ni takataka
 
Upinzani hutoka kwa wana nchi sio taasisi za kijamii peke yake.
Hata ikitokea vyama vyote vya upinzani visipokuwepo,kukawa na chama kimoja tu kama wakati wa Nyerere bado upinzani kutoka kwa wananchi utakuwepo.
Historia inatuambia hata wakati wa serikali ya chama kimoja baadi upinzani ulikuwepo either wa ndani au nje ya chama.

KIASILI...upinzani ni jambo la kiasili ambalo huwezi kulikwepa ,hata MUNGU kuna shetani na watu na viumbe vingine vinampinga,hakuna mtu au jambi linakosa upinzani.


Kwa sababu tunatofautiana namna ya kufikiri na mawazo yetu na akili zetu..

wanaotoa mawazo au maoni tofauti na yakwako au maoni mawazo mbadala au maoni ya kukosoa wanapaswa **WASIKILIZWE**KUSIKILIZA HOJA PINZANI**ndio ukomavu kupevuka kisiasa.
 
Rip ccm
 
UPINZANI HAUWEZI KUFA labda uwe unaongoza maiti au misukule ila kama unaongoza bunadamu wenye akili timamu ,utashi na uwezo wa kufikiri sawasawa lazima upinzani uwepo.
Vyama vya upinzani hata vusipokuwepo vyote vikafungiwa...lakini akili za watu mawazo ya watu mioyo ya watu maoni yao mioyoni mwao akili zao bado watakuwa na maoni ya kukosoa na kupinga..

hata MUNGU tu kuna viumbe wanampinga ...hakuna mtu ambaye hana mpinzani kama MUNGU tu anapingwa.
 
Umeandika ushudu ukiwa toi unakata gogo?

Au unaongelea upinzani gani fafanua pimbi wewe!
 
sawa. lakini dunia inataka kujua WALIKUFA WANGAPI?
Msimamizi mmoja kutoka kituo kimoja cha uchaguzi pale mbezi mwisho alinithibitishia kwamba mpaka maandamano yanatokea saa nne asubuhi walikuwa wamepiga kura watu 4 tu kati ya watu zaidi ya 360 waliokuwa wamejiandikisha.... walipofika kwa DED wakafungiwa ndani na kuanza kutiki kwa samia.
mwingine yupo nyanda za juu aliniambia sawa na huyu
mwingine yupo ziwa magharibi akisimamia zaidi ya mkoa mmoja aliniambia kulikuwa na matokeo tayari kutoka juu, kilichofanyika siku ya uchaguzi ni kutall matokeo tu.
mwisho samia akatangazwa mshindi kwa 98%
swali. kati ya upinzani uliokufa na chama kilichokwiba uchaguzi ni kipi kimekufa tena kibudu?
 
Katika bara la afrika uliwahi sikia wapi aina hyo ya usimamizi wa uchaguzi au serikali ya mseto
Kwa hapa Afrika itaanza kusikika hapa kwetu. Serekali ya mseto ilikiwa pia hapo Zimbamwe, Kenya nk.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…