RIP Mwangosi, tutakukumbuka daima

RIP Mwangosi, tutakukumbuka daima

SUMUYANGE

Member
Joined
Apr 5, 2017
Posts
31
Reaction score
67
Kumbukumbu Mbaya.

Leo imetimia miaka mitano tangu pale polisi walipofanya mauaji ya kutisha maeneo ya Nyololo Iringa 2012, walimuua mwandishi wa habari kwenye mkutano wa CHADEMA kipindi cha oparation/vuguvugu la mabadiliko M4C kwa kumlipua kwa bomu na mwili wake kusambaratika vibaya. Ni ndugu Daud Mwangosi aliezikwa Tukuyu Mbeya.

R.I.P Mwangosi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
..hivi kwanini mjane wa Mwangosi haishtaki serikali kwa mauaji ya mume wake?

..Askari aliyemuua Mwangosi alikuwa ktk kutekeleza amri aliyopewa na kamanda wake aliyekuwepo eneo la tukio.

..Kwa maoni yangu Mjane na familia wanastahili kulipwa fidia na serikali.

NB.

..Zaidi nilisikitishwa na uamuzi wa Raisi Kikwete kumpandisha cheo Afande Kamuhanda ambaye alikuwepo eneo la tukio siku alipouawa Mwangosi.

Cc Mwanahabari Huru
 
..hivi kwanini mjane wa Mwangosi haishtaki serikali kwa mauaji ya mume wake?

..Askari aliyemuua Mwangosi alikuwa ktk kutekeleza amri aliyopewa na kamanda wake aliyekuwepo eneo la tukio.

..Kwa maoni yangu Mjane na familia wanastahili kulipwa fidia na serikali.

NB.

..Zaidi nilisikitishwa na uamuzi wa Raisi Kikwete kumpandisha cheo Afande Kamuhanda ambaye alikuwepo eneo la tukio siku alipouawa Mwangosi.

Cc Mwanahabari Huru
Inawezekana kabisa,
Mama Imrani Kombe aliishitaki Serikalini akidai fidia kwa hasara waliyomletea kama milioni mia sita hivi, japo walimpa kama mia mbili tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kumbukumbu mbaya Sana kwa jeshi letu la polisi na walio wapandishwa vyeo maafsa waliohusika na tukio hill.Sipendi kukumbuka tukio baya kiasi kile.
R.I.P Mwangosi
 
Back
Top Bottom