Pdidy
Platinum Member
- Nov 22, 2007
- 61,775
- 37,968
Mwenyezi mungu akuondolee adhabu ya kaburi akupe rehema zake
Marehemu anazikwa leo Kinondoni
Msiba uko pale Kinondoni kanisani nyumbani kwao..Opp na uwanja wa Biafra. Ukifika Biafra uliza penye msiba....
Michango tunaendelea kupokea nyumbani tu
Raha ya milele akupe ee bwana na mwanga wa milele akuangazuie upumzike kwa amani
Amen