Kituko
JF-Expert Member
- Jan 12, 2009
- 9,555
- 9,329
Asante sana Mkuu...hayo uliyoweka hapo juu ni kweli. Nilipenda kupita kiasi kwahiyo hata ishara za hatari sikuziona. Heshima ilipopungua, nikaanza ku-comfront the issues..heshima ikawa imeshapotea..."anajiamini" so..kweli sina ndoa. watoto sio wakubwa sana..lakini nimekuwa naongea nao taratibu nisiwachanganye..nao pia wanaona..siwaambii anything negative about their mother. Nawashukuru wote humu JF kwa kunipa confidence ya kuchukua next step...divorce.
Hapo kwenye Bold upo wright kabisa, dont talk anything negative about their mom,
relax na wala usijipe pressure/Depression na wewe anza kumignore taratibu na kuchukulia ni kawaida tu
mara nying situation ikifikia point kama hii huwa hairudi nyuma, hata mkiita wazee na wachungaji mtasuruisha na atarudi ndani kwa siku ama wiki tu na mwisho atarudi Duniani kuendelea na ya kilimwengu
hapa nimehukumu kutokana na maelezo yako tu (one side)