Duuu sasa huo u gold digger unakuja vipi? Unataka kuniambia Rihanna hana nusu ya utajiri wa huyo Mwarabu...Gold digger kazini. Huyu mwarabu amuulize kinachoendelea mwenzie aliyemuoa Janet Jackson, hawa watu hata wakiwa na mijimilioni yao bado hawana mapenzi ya kweli, wameweka maslahi mbele tu.
Duuu sasa huo u gold digger unakuja vipi? Unataka kuniambia Rihanna hana nusu ya utajiri wa huyo Mwarabu...
Au basi tuseme walau Dola 400M?
alifanywaje?Wewee, mwarabu anapungwa tu hapo. Au hujawahi kusikia kisa cha Janet Jackson na mwarabu wake?
alifanywaje?
Harafu ndugu zao wanauana syriaMwarabu alipewa penzi kwa mkataba wakimwagana alipe Dollars milioni 500, sasa kama sio kupungwa ni nini? Hawa watoto wa matajiri ni mambwiga tu.