Ridhiwani umeshindwa kumuita Mh. Rais Dr. J Magufuli?

KakaKiiza

JF-Expert Member
Feb 16, 2010
11,578
8,600
Nikiwa naangalia Beauty TV nikakutana na clip ya Mh. Ridhiwani Kikwete akielezea jinsi ambavyo hakuridhishwa kwa muimbaji kupewa Bendera ya Taifa kama yeye alitegemea Captain wa timu ya Taifa Stars ndo apewe bendera ya Taifa na si muimbaji anawakilisha katika mambo ya mpira ni kupoteza maana ya bendera na kutokuwa na malengo katika soka.

Mimi nimekubaliana na maoni yake lakini hapo hapo kitendo cha kuita Rais wa nchi Bwana Dr. John Pombe Magufuli kwangu hakikukaa vizuri kabisa. Mimi kimtizamo wangu ni dhahiri kuwa hajamkubali Mh. Rais katika nafasi aliyonayo.

Naomba umsikilize hapa

 
Kuanzia oktoba 2015 baada ya uchaguzi HE Dr Magufuli alikuwa RAIS wa JMT..na alijulikana hivyo na ataendelea kujulikana hivyo mpaka muda wake kikatiba utakapomalizika.
Hata asipomuita Rais sioni kama ina maanisha hamkubali kama ni Rais.
Tuna mengi saana ya kufanya kumsaidia Rais kuendeleza nchi...haya mambo mengine hayatatusidia.TUSHIRIKIANE NA RAIS TUVUKE HAPA TULIPO
 
Kama ni kosa basi pendekeza kwenye mamlaka husika zitunge sheria ibainishe nani waitwe bwana na nani waitwe vinginevyo
 
Aliyokuwa anayafanya babaye nayo alikuwa anayaona na kukosoa.?
Au ndio macho kodo kwa wengine?
 
Huyu naye anamatatizo
kulikuwa na wasanii zaidi ya Daiamond kule
mbona wao walipewa bendera zao!!
Angependezwa kuona ni Diamond pekke asiye na bendera ya Taifa lake?
Mambo mengine hayana maana kuyakuza mitandaoni
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom