Kazi kweli kweli!
Psychiatirist..Ahahahahaumeelewa kilicho andikwa?kama hujaelewa copy,...ops (kopi) halafu nenda ka google kitu hiki "google translate",chagua,penye from kiliki (bonyeza) English.....halafu penye to weka "swahili",...
I am sure they have evidence and riz1 will fall shameless
sio hivyo tu ndugu yangu inasemekana pia hata yale magorofa yanayojengwa morogoro msamvu riz1 ana hisa! wafuatiliaji wa mambo wananena kuwa huwa anakwenda mara kwa mara ku-visit!Mali za Riz1 zipo katika kampuni ya mafuta KOBIL na nyingine anamiliki malori ya mafuta kwa kupitia mpambe wake Davids Mosha hilo halina ubishi!!!
Nakubaliana na wewe kwa asilimia zote mkuu Kilewo, tumemnasa ndege kiulaini maana hata baba yake sasa atahusishwa na hii kesi kuja kutoa ushahidi juu ya mwanae then hapo ndipo watajua nguvu ya umma imekaajeWe said thanks god for this, kwasababu wahaini wataifa hili wameingia kwenye mtego tuliyokuwa tunautaka, najua ridhiwani au mpambe yeyote yule wababa yako mnaingia humu jf chukua maneno hayo:
1. Kama mlidhani kuna mtu au watu wanaogopa kifo au jela kwa ukweli sahauni kabisaa.
2. Kama mlikuwa mnadhani mko juu ya nguvu ya umma kwasababu ya madaraka sahauni kwasababu watanzania tumechoka na maisha ya kubangaiza hivyo tupo tayari kwalolote na kumlinda rais aliyechaguliwa na umma kwa nguvu ya umma (Slaa)
3. Kama mnadhani mnahati miliki ya taifa hili hebu jaribuni tu hata kwa sekunde moja kumkamata slaa ndipo mtajua umma unataka nini
4. By the way mnakesi ya uhaini ya kujibu 2015 ya kuhujumu uchumi wataifa hili. Muwe mmekimbia nchi au kwalolote lile litakalotokea kabla ya hapo lazima mjibu.
5. Watanzania miili inaganzi sasa hatutaki maneno yenu tena na tena tunaishi kwa kudra za mungu so your nothing in this country right.
sio hivyo tu ndugu yangu inasemekana pia hata yale magorofa yanayojengwa morogoro msamvu riz1 ana hisa! wafuatiliaji wa mambo wananena kuwa huwa anakwenda mara kwa mara ku-visit!
Wapi hapo nami nirambe?What evidence, lets wait and see. Hapa sasa patamu.