Ridhiwani awaburuza mahakamani Dk Slaa na Mchungaji Mtikila

Naona mtoto rais wa masharobaro ameamua atoke vp kwenye tope alilo jinasisha mwenyewe,time wil tel.Mambo yanaweza yakawa magumu kwa huyu jamaa sharobaro anayeishi kimjinmjini.Maanake ameshindwa afanyaje,akitaka akae kimya watu wathibitisha bila ya wasiwasi kwamba ni kweli ameshakuwa bilionea fasta. Kuwashtaki hawa jamaa ndo uamuzi mgumu si anamjua daktari alishatamka wazi wazi kuwa dk rais ni fisadi. Na dk rais hajawahi hata siku moja kukanusha kwa hyo ameshakubali kuwa ni fisadi. Kwa mchungaji ndo BALAA ameshaishitaki jamhuri kuhusu suala la mgombea binafsi na akaibuka kidedea.
Jambo jingine la kuonyesha huyo jamaa ni young bilionea angalia anachodai alipe 2 bilions,angeomba ushauri kwa manji ambaye anataka mengi amlipe sh 1

Hapo hata mimi kanistua kumbe he is worth 2Bil in Damage. Maana huwezi kudai kitu ambacho huna thamani nacho, Juzijuzi Mbatia na kesi yake na NBC wamemchallange kuhusu kiwango anachodai fidia cha 5 bil ni kikubwa na anathamani nacho.
check hapa Home na hapa Daily News | Witness fails to explain Mbatia's claims
 
ridhiwani juzi juzi hapa kakamatwa na askari akiendesha hummer isiyokuwa na namba akawahonga askari ili ishunisijulikane!
 
Chief Mkwawa on watch.
No comments until the rulling from court. I Wish all parties good lucky.

Time to reveal the unseen acts, to hear the secrets say, to understastand the wealthy of the country; to know the truth. I hope it gone be heavy weight battle. Ikulu and citizens.
 
Will there be a fair trial, or the trial will favour someone? Let the mahakama be fair and execute true and fair justice.
 
siasa za bongo bana, hakuna kitu hapo, kama kweli kapeleka mahakamani basi ni kiini macho kwetu....wote siasa kitu kimoja wanacheza karata huku wanaenda mbele.
 
Mali za Riz1 zipo katika kampuni ya mafuta KOBIL na nyingine anamiliki malori ya mafuta kwa kupitia mpambe wake Davids Mosha hilo halina ubishi!!!

Kwa hiyo anafanya money laundering kupitia Kobil na Davids Mosha sio? Atakuwa alipata shule kutoka kwa Rostam anayemiliki makampuni kibao bila jina lake kutajwa kwenye list ya wamiliki!!!!!

Tiba
 
Sijui kama Riz anajua madhara ya kesi hii atambue itavuta vyombo vingi vya habari si vya ndani tu bali hata vya nje kwa kuwa inamgusa mtoto wa rais na anachotuhumiwa ni utajiri wa muda mfupi kwa mali iliyotokana na madaraka ya baba yake ambaye ni rais, nafikiri mshauri wake amekosea timing ameileta katika kipindi kibaya cha kulipiziana kisasi, yetu macho.
 
Katika kipindi hiki ambacho kuna vuguvugu sana la kisiasa nchini, ni lazima Ridhwani awe na uhakika kuwa kuwa mali anayomiliki yeye, ama directly au kwa kupitia proxies, ni yake kihalali, ndiyo maana amesimama kidete kusafisha jina lake.

Kutegemea kuwa Mahakama ziko upande wake kwa vile mahakimu wote ni wateule wa wazazi wake linawezekana lisifanya kazi kwa vile kesi hii inaweza kuwa moja itakayoangaliwa kwa kina sana kipindi hiki kutokana na sababu nyingi tu, na huenda kusababisha gharama kubwa sana za kiuendeshaji ikiwa ni pamoja na kuleta ushahidi wa kutoka nje ikiwa ni lazima.

However, I am not Nancy Grace, so I will wait for the verdict.
 
Jopo la mashahidi wa Riz1 litaongozwa na FaizaFoxy, kaaazi kweli kweli !
 
Wacha aende huko anakotaka,
tutakachofanya ni kila mwenye vielelezo kwa wakati wake ku-forward kwa Dk. wa ukweli
(Sio Dk. wa kujipachika kama Dk. Manyaunyau)
 
Safi sana..naona dogo sasa kaamua kabisa kummaliza babake na chama chake.
Hata ukishinda hiyo kesi mahakamani, hutashinda umma wa watanzania walio na hasira na ww kilaza uliyedisco UD mara 2 ila ukamailza kwa kubebwa.

Hakuna asiyejua kwamba una trucks 150, vituo vya mafuta, hotels, nyumba kibao za kifahari, viwanja, magari ya kifahari...kwa kazi gani unayofanya?
 
hili jambo lilishakufa automatically....why now? I think Mwana Yanga Riz1 anajua anachokifanya, let's wait and see na tusimuhukumu mwananchi anayethubutu kuidai haki yake kisheria, ni sisi JF tunaobishana kila kukicha kwanini hawaendi kortini, sasa kijana mwenzetu kaenda tunageuka!!!! Aaah jamani, acheni mahakama sasa ichukue mkondo na tuwe tayari kuukubali uamuzi wa chombo hiki, kwanini nasema hivi? Mshitaki anayoimani na mahakama kuwa itatenda haki na wewe unayeititikia wito wa mahakama una hakika utatendewa haki na mahakama ......vinginevyo usiende kujibu kesi hivyo blabla bla za kusema kesi ya nyani eti.....hatuhitaji acheni wataalam wa sheria na mamlaka hiyo zifanye kazi, tujipange kuupinga udanganyifu nje ya mahakama.
 
Hii habari nimeikuta kule wanabidii.

Sunday, 24 July 2011 06:10

By Bernard James
Dar es Salaam. Opposition leaders Dr Willibrod Slaa and Reverend Christopher Mtikila are set to face off President Jakaya Kikwete’s son, Ridhiwani, in a high-profile court battle.

Ridhiwani has officially filed a defamation lawsuit against Chadema’s secretary general and the chairman of Democratic Party (DP) Mtikila for allegedly accusing him of amassing questionable wealth since his father’s ascendance to the presidency.

The duo had publicly accused him of using his father’s influence to amass the purported wealth, and he wants his name to be cleared of the allegations.

In a case filed on Friday in the High Court, Ridhiwani also enjoined in the suit a daily Kiswahili newspaper owned by Chadema chairman and leader of the official opposition in Parliament, Mr Freeman Mbowe. The Hai MP is the proprietor of Free Media Limited, publishers of Tanzania Daima.

Managing Director of Printech Company and the editor of the said newspaper will also be party in the case whose first hearing date is to be set within two weeks.

Ridhiwani wants the court to order the defendants to pay him Sh2 billion in general damages, apologise and permanently restrain from further publishing and circulating “defamatory falsehood” touching on his personal life, his business or profession or other engagements.

The filing of the suit opens the doors for a likely tough legal battle, as the two accused politicians are on record saying they would “shame” Ridhiwani in court if he dared sue them.

Ridhiwani announced at a press conference in May that he intended to sue his detractors for what he described as ‘false allegations’, which he claimed were calculated to tarnish his image and that of his family.

But in a rejoinder, Dr Slaa said that he owed the junior Kikwete no apology and challenged him to send him to court.

Reverend Mtikila is also on record as saying he had ample evidence to prove in court how much wealth the junior Kikwete possessed. “I cannot apologise to anyone. I have enough evidence the young man has a lot of wealth which he did not acquire legitimately. Let him go to court, for I will prove my case,” Mtikila had intoned.

Mtikila had claimed that Ridhiwani was a billionaire who owned, among other things, a transport company with a fleet of about 150 trucks, and a road construction firm, in addition to a number of mansions and buildings, as well as large chunks of land.

But Ridhiwani says in the suit he has filed through Law Associates Advocates that he has never abused his father-son relationship with the President to obtain illicit advantages or to loot the country’s coffers.

He says he has been wrongly portrayed as a dishonest and corrupt young man. His image and reputation thus has been injured in the society, he further claims. He also argues that his standing and esteem in the society and in the eyes of his peers has been irreparably lowered.
“The plaintiff (Ridhiwani) is a young lawyer and youth leader who is the member of executive committee of the UVCCM. Further, the plaintiff is a public figure who is involved in many public engagements and good caused works and social organizations and he is therefore highly respected in the society,” his lawyers say.

A month ago, Ridhiwani called a press conference where he denied being a billionaire. He said he only owned a 1.5 acre of land in Coast Region and a saloon car; and also owned three bank accounts at CRDB, NBC and Stanbic banks in the city. He did not disclose the amount of money in those accounts.

Masikini, hawajamshauri vizuri huyu kijana!! It is a pity!!
 
Back
Top Bottom