CULCULUS
JF-Expert Member
- Nov 17, 2011
- 316
- 619
Amesema MAT si chama rasmi cha masaktari. Amesema ni NGO tu. Mbunge huyu wa zamani ametoa kauli hizi akiwa kwenye jitihada za kuitetea serikali kupitia TBC. Hawa ndio wazee walioitafuna nchi na kuiacha mifupa leo hii wameitwa kupiga propaganda. So saad.
Hivi ni lini na yeye atarudisha zile pesa alizokopa BoT kwa ajili ya kwenda kujenga kiwanda chake cha kusindika Nyama kule Sumbawanga? Bora ameongea tumekumba deni letu tunalomdai tukawalipe Madaktari wetu.