Penologist
JF-Expert Member
- Feb 25, 2019
- 788
- 1,903
Mavoco alianza kupotea kabla hajajiunga wasafi,alipoingia wasafi akarudi kwenye game na mziki wa tofauti kabisa aliokuwa anafanya mwanzo akaanza kufanya mziki wa kutegemea beat kali na kuimba imba bila kuandika mashairi makali wcb wakawa wana promote kwa nguvu nyingi then ngoma inakuwa hit.
Alicho kosea ni kutoka wcb na kwenda kujitegemea akiongozwa na genge la wahuni la kina dokii,masikini mavoko billionaire kid ikasajiliwa chini ya dokii aliye poteza ramani kitambo akawa chawa sasa ndio wamfanyie promo mavoko wamtafutie shows za ndani na nje wamlipie videos kali wamtafutie collaboration za kimataifa,waganga njaa wa mjini.
Alicho kosea ni kutoka wcb na kwenda kujitegemea akiongozwa na genge la wahuni la kina dokii,masikini mavoko billionaire kid ikasajiliwa chini ya dokii aliye poteza ramani kitambo akawa chawa sasa ndio wamfanyie promo mavoko wamtafutie shows za ndani na nje wamlipie videos kali wamtafutie collaboration za kimataifa,waganga njaa wa mjini.