Riba kwenye mikopo ya HESLB

Riba kwenye mikopo ya HESLB

cutebulbul4

Member
Joined
Sep 9, 2014
Posts
45
Reaction score
1
habari mie naomba kujua hii mikopo ina aslimia ngapi ya riba, isiwe tunashangilia kuipata wakati wa kulipa tukalia, kwa mfano umekopeshwa million 4 utalipa million ngapi?
 
sstr unalipa only ada uliolipiwa.simply mtu aliyepata mkopo na ada kalipiwa 00% then halipi kitu,ila wengine utalipa kile kiasi ambacho heslb wamekulipia ktk ada.ikumbukwe kwamba hela ya chakula na malazi, books and stationary,special faculty requirement na field practical training HAZILIPWI.Pia kwa watu wa medical pesa upewayo haulipi chochote
 
sstr unalipa only ada uliolipiwa.simply mtu aliyepata mkopo na ada kalipiwa 00% then halipi kitu,ila wengine utalipa kile kiasi ambacho heslb wamekulipia ktk ada.ikumbukwe kwamba hela ya chakula na malazi, books and stationary,special faculty requirement na field practical training HAZILIPWI.Pia kwa watu wa medical pesa upewayo haulipi chochote

asante nimekuelewa
 
sstr unalipa only ada uliolipiwa.simply mtu aliyepata mkopo na ada kalipiwa 00% then halipi kitu,ila wengine utalipa kile kiasi ambacho heslb wamekulipia ktk ada.ikumbukwe kwamba hela ya chakula na malazi, books and stationary,special faculty requirement na field practical training HAZILIPWI.Pia kwa watu wa medical pesa upewayo haulipi chochote

jaman mie nmeona watu wanakatwa hela yote walopewa hzo meals and acomodation zote kwenye salary sleep kaandikiwa deni la milion 13. unavyosema unarudisha ada tu nakushangaa
 
jaman mie nmeona watu wanakatwa hela yote walopewa hzo meals and acomodation zote kwenye salary sleep kaandikiwa deni la milion 13. Unavyosema unarudisha ada tu nakushangaa
waache warukeruke tu. Waende kuwa masharobaro kwa hela ya mkopo!
 
Jamani na ukifanya transfer toka chuo kimoja kwenda kingine mchakato wa kuhamishiwa mkopo pia unachukua muda gan au kuna hatua gan unazopaswa kufanya ili kukamilisha hlo?
 
wanakata fedha yao yote waliyowahi kukupa(kukukopesha),huwa hamna riba,ila wameanzisha ka kitu kanaitwa loan retention fee 1.5% kama sijakosea,kana miaka kama mitatu tangu kaanze,wakopaji zamani hakawahusu.
 
sstr unalipa only ada uliolipiwa.simply mtu aliyepata mkopo na ada kalipiwa 00% then halipi kitu,ila wengine utalipa kile kiasi ambacho heslb wamekulipia ktk ada.ikumbukwe kwamba hela ya chakula na malazi, books and stationary,special faculty requirement na field practical training HAZILIPWI.Pia kwa watu wa medical pesa upewayo haulipi chochote

wee zinalipwa,kwani wanafunzi ni BMK?,fedha kama ya meal allowance watu huikumbuka na kujutia walivyokuwa wakiitafuna hovyo! unatakiwa kula dola 2.25 kama mtanzania mjanja kiasi kinachobaki kodi shamba ata moro ulime mboga,mahindi viazi,nk sio kununua sub woofer,kumiliki totoz,pamba kuzidi ata za baba a.k.a mkulima na out kama umezaliwa mbele,ajira zenyewe hamna ukirudi kitaa utachekwa,ukipata kazi take home ndogo mavijanaa wa bank wanaanza kukata za muzeya papaa hezelbe(heslb)
 
wee zinalipwa,kwani wanafunzi ni BMK?,fedha kama ya meal allowance watu huikumbuka na kujutia walivyokuwa wakiitafuna hovyo! unatakiwa kula dola 2.25 kama mtanzania mjanja kiasi kinachobaki kodi shamba ata moro ulime mboga,mahindi viazi,nk sio kununua sub woofer,kumiliki totoz,pamba kuzidi ata za baba a.k.a mkulima na out kama umezaliwa mbele,ajira zenyewe hamna ukirudi kitaa utachekwa,ukipata kazi take home ndogo mavijanaa wa bank wanaanza kukata za muzeya papaa hezelbe(heslb)
Hahahaaa daaah ama kweli na mavijanaa ya bank, ni shughuli
 
sstr unalipa only ada uliolipiwa.simply mtu aliyepata mkopo na ada kalipiwa 00% then halipi kitu,ila wengine utalipa kile kiasi ambacho heslb wamekulipia ktk ada.ikumbukwe kwamba hela ya chakula na malazi, books and stationary,special faculty requirement na field practical training HAZILIPWI.Pia kwa watu wa medical pesa upewayo haulipi chochote

Bodi wanakata hela zote mi nimeandikiwa mil 9 kati ada bodi wamenilipia laki 8 kwa miaka mitatu
 
Utakatwa kila kitu walichokupa na pia ukichelewa kuanza kulipa wanakuwekea penalty....yaani utalipa.
Mfano; mm ada ilikuwa 1,263,000 kwa mwaka mmoja na walinipa Mara tatu (kwa miaka mitatu).... Deni lao walilokuwa wanadai ni milioni kumi na tano (15) na vilaki huko mbele. Kwahiyo kuwa makini ndugu wale HESLB sio watu wazuri....kama una pesa zako we jisomeshe kwa kujibana tu....kuna rafiki yangu wa kike alikuwa anasoma mzumbe hakuna hiyo mikopo tukawa tunalindana kiaina, kwao wakawa wanauza mashamba ili walipe ada....saizi namuona yeye ndiye mjanja kuliko Mimi.....hatari!. Usicheze na loan board wewe
 
sstr unalipa only ada uliolipiwa.simply mtu aliyepata mkopo na ada kalipiwa 00% then halipi kitu,ila wengine utalipa kile kiasi ambacho heslb wamekulipia ktk ada.ikumbukwe kwamba hela ya chakula na malazi, books and stationary,special faculty requirement na field practical training HAZILIPWI.Pia kwa watu wa medical pesa upewayo haulipi chochote
Si kweli kabisa,
 
Utakatwa kila kitu walichokupa na pia ukichelewa kuanza kulipa wanakuwekea penalty....yaani utalipa.
Mfano; mm ada ilikuwa 1,263,000 kwa mwaka mmoja na walinipa Mara tatu (kwa miaka mitatu).... Deni lao walilokuwa wanadai ni milioni kumi na tano (15) na vilaki huko mbele. Kwahiyo kuwa makini ndugu wale HESLB sio watu wazuri....kama una pesa zako we jisomeshe kwa kujibana tu....kuna rafiki yangu wa kike alikuwa anasoma mzumbe hakuna hiyo mikopo tukawa tunalindana kiaina, kwao wakawa wanauza mashamba ili walipe ada....saizi namuona yeye ndiye mjanja kuliko Mimi.....hatari!. Usicheze na loan board wewe
Mkuu bila shaka wewe una degree ya SUA
 
Back
Top Bottom