chuma cha reli
JF-Expert Member
- Jul 2, 2012
- 2,757
- 2,523
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jesus! Makonda amekemea ujinga huu mbona husikii!Airhostages anaweza kushika nafasi ya 3
Wanne ni wezi wakubwa na madikteta.
Mmoja ni labda sio mwizi lakini dikteta wa kutupwa.
Mmoja ni mwizi wa kutupwa lakini sio dikteta.
Amekemea kusema airhostages, kwa hiyo haogopi?Jesus! Makonda amekemea ujinga huu mbona husikii!
Magufuli atabaki kuwa mawinguni.Ni Uhuru Kenyatta, huyu hata akifa leo Mungu anamhesabia haki, kaiepusha Kenya na umwagaji wa Damu kutoka kwa Odinga
Sent using Jamii Forums mobile app
Uhuru kawapita wote kwa mbali, ni mstaarabu sana na ana exposureNawaleta kwenu Marais wa ukanda wa Afrika Mashariki, tuwachuje na kuwalinganisha kwa demokrasia, Uhuru na kuheshimu sheria walizoapa kuzisimamiaView attachment 1058854
Sent using Jamii Forums mobile app
Ukiwa mpumbavu jitahidi kuficha upumbavu wako uliotukuka mbele za watu, huna hata aibu kichaa kimekukaa kichwani ni wangapi humu wamemtaja Magufuli? acha tabia za kichawi
Ukiwa mpumbavu jitahidi kuficha upumbavu wako uliotukuka mbele za watu, huna hata aibu kichaa kimekukaa kichwani ni wangapi humu wamemtaja Magufuli? acha tabia za kichawi
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni kweli JPM yupo juu kwa umbumbumbu, PHD HOLDER
Acha ujinga kama wewe unaakili japo nusu ya JPM mbona umeshindwa hata kuwa mwenyekiti wa nyumba kumi?Ni kweli JPM yupo juu kwa umbumbumbu, PHD HOLDER
1.intreprilinyushipu
2.Air hostage
Na kupora dola za maskini kwenye maduka yao kwa hili yupo juu, na akawa mawinguni baada ya kumzalisha mama yako, Hahahahah....
Sent using Jamii Forums mobile app