Swali zuri,ila majibu hutopata!Mimi si muumini wa kanisa la ufufuo na uzima wala Gwajima sio role model wangu.. Lakini kitendo chake cha kukemea utekaji wazi wazi na kutaka hatua stahiki zichukuliwe kiliwagusa wengi
Baada ya hapo alipata mashambulizi ya kutosha hasa ndani ya chama chake.. Naye hakukaa kimya bali alirejea na kutangaza maombi kwa wahanga mbalimbali nchini wenye kesi za uhaini, waliotekwa na hata wanasiasa pia..
Maombi yalianza jana na hapohapo ikatoka barua ya kulifungia kanisa lake
Je kosa la Gwajima ni lipi mpaka sasa?
Kukemea utekaji?
Kutaka wahusika watafutwe?
Kuwafanyia maombi wahanga mbalimbali?
Hivi tumefika mahali hata maombi tunayaogopa?View attachment 3354235
Acha uongo hamna muisalamu anae weza kushabikia utekaji au mauuaji acheni kuchanganya siasa na Dini.Sisi kama waislamu tunamuunga mkono Mama Samia iwa sbbnndo muislam mwenzatu.Kafanya vzirui kuteka na kuua wapinzani wake wa kisiasa ambao wenginni wakrisitu
Majini yenu yanapenda sana damuSisi kama waislamu tunamuunga mkono Mama Samia iwa sbbnndo muislam mwenzatu.Kafanya vzirui kuteka na kuua wapinzani wake wa kisiasa ambao wenginni wakrisitu
Kwa makosa haya anaweza kupewa kesi ya uhainiKukemea utekaji, mauaji hovyo ya raia, nk.! Na pia kuijulisha jamii ya kwamba wakuu wa vyombo vya usalama wanatakiwa kuteuliwa kwa kufuata mfumo bora zaidi kuliko huu wa sasa wa kuteuliwa na mwanasiasa mmoja tu.