lyinga
JF-Expert Member
- Nov 18, 2013
- 2,494
- 1,057
Hii nchi inaponichoshanga za ni hapo tu mtu anapofanya kazi yake vizuri atawekewa misumari vikwazo elimradi wanaonekane si lolote nenda kwa mh mwakembe,mwaibula , lowasa na huyu mh kagasheki ni mizengwe na majungu kwa wale wasioitakia mema nchi yetu na wananchi bado tumelala tunalishwa sumu mbaya ambayo itakuja kuathiri na vizazi vijavyo kwamba mtu anaefanya vizuri kwa kujali utu wa watu wengine huyo hafai ila anaeiminya haki mdhulumati mwenye uchu wa madaraka basi huyo ndie salama kitu ambacho ni kibaya sana tanzania tushaingia kwenye ukoloni mambo leo bila hata kujitambua kwa hili la mh kagasheki majangili na mafisadi ni ushindi kwao walalahoi kalaga bao..