johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 104,319
- 183,521
Mchungaji Mbiso wa KKKT Mbezi amesema Mtu mmoja mmoja ambao Mungu wa mbinguni Anaishi ndani yao ndio huitwa Kanisa la Mungu
Na kwamba nyumba ya Mungu haijengwi kwa Mawe na ushuhuda ni Mwanzo 28:17 mahali hapa panatisha kama nini bila shaka hii ni nyumba ya Mungu ni Lango la mbinguni
Source: Upendo tv
Kumbe basi Mimi na wewe ndio Hekalu la Mungu wa mbinguni
Nawatakia Dominica njema 🇹🇿🙏
Na kwamba nyumba ya Mungu haijengwi kwa Mawe na ushuhuda ni Mwanzo 28:17 mahali hapa panatisha kama nini bila shaka hii ni nyumba ya Mungu ni Lango la mbinguni
Source: Upendo tv
Kumbe basi Mimi na wewe ndio Hekalu la Mungu wa mbinguni
Nawatakia Dominica njema 🇹🇿🙏