Nyamayao
JF-Expert Member
- Jan 22, 2009
- 6,966
- 2,380
hahahahahaha!Hahaah usikonde unaweza anza tuma maombi kwa kutanguliza £ 300!
Hivi Nyamayao una mdogo wako wa kike? Nauliza tu...
hahahahahaha!
unaikumbuka TANGAZO MAALUM LA MRADI WA KAZI MAJUU?
hebu ifufue mpwa
Uko tayari kuja Mkuranga! maana Zenj ulisema waogopa maji
bora umetanguliza hiyo coz icngewezekana kutuongezea shida kwenye familia..lol....hapana nina dada.
Nimeweka hii kuungana na jamaa wa jana Nigerians wanaaccess ile jamiiforums emails! Wakuu mnaweza weka filter?
Nitatumia hata sadaka!
Hii ni kweli no utapeli!
Wanigeria hawafai, matapeli wakubwa!
Tayari umesha nibania, achaga roho mbaya
Ushindwe.Hebu wasiliana na Msanii tupate viwanja!
shekhe.Rev amini nakuambia hakika hiyo haina tofauti sana na yale ya Mkuranga
Ushindwe.
Kwanza cocacola hawatumii accounts za yahoo, hotmail wala jf.
umelizwa ukiwatumia details zako, na utakuja hapa ukilalama kuwa huwezi kuaccess emails zako na akaunti zako zimekaushwa....
Usikonde wala kunenepa! Ulimsoma yule Caren mimi ninazo 19 tu