Shida sio ccm wala chadema wala cuf. Eleweni hiki kitu.
Shida ni watu kama watu na sio chama.
Zaire ilivyokuwa mbovu kipindi cha mobutu tatzo halikuwa chama cha mobutu bali mobutu mwenyewe
Libya isingeweza kushamiri kiasi kile chini ya Gaddafi kama Gaddafi mwenyewe angekuwa wa ovyo
Shida ni watu. Tatizo sio chama
Magufuli yuko vizuri. Tumchague magufuli. Achana na huyo mzee wa Richmond, ranch za taifa na ma takataka mengine kibao ambayo hata huyajui lakini yapo