Kazi Imeanza, Lowassa kura za watanzania wazalendo unazo!
huyu fisadi atapata kula za vichaa na matahira.Richmond atuambie ni ya nani na kwanini aliitumia kutuibia.Mtu akiongea midenda inamtoka na vibration haziishi
Kazi Imeanza, Lowassa kura za watanzania wazalendo unazo!
Hivi Obama alizindua mitambo gani pale Ubungo?
![]()
Hivi Obama alizindua mitambo gani pale Ubungo?
![]()
Tena ya kutoa roho bila huruma hasa huku gizani
huyu fisadi atapata kula za vichaa na matahira.Richmond atuambie ni ya nani na kwanini aliitumia kutuibia.Mtu akiongea midenda inamtoka na vibration haziishi
Eti wamempaisha, ungejua nini huwa kinatokea usiku ukiwa umelala isingekupa shida kuelewa maana ya unachokishabikia ..
The Chama Cha Mapinduzi party has ruled the East African nation since independence in 1961, and the fractious opposition is not expected to challenge its position in a parliamentary and presidential vote October 25.
Hilo ni pigo kubwa sana kwa ukawa. yaani ulimwengu mzima unafahamu kuwa upinzani hakuna kitu, sasa hizi kelele za humu za ukawa sijui huwa ni kwa mtazamo wa wapi. UKAWA KAENI CHINI!!!! you still have a very long way to go, nchi haiongozi kwa porojo za vijiweni.
Ameshaanza kutumia pesa alizoibia watanzania kuhonga huko ili kujiimarisha..!
Mpe taarifa kwamba, hatumhitaji kabisa.
huyu fisadi atapata kula za vichaa na matahira.Richmond atuambie ni ya nani na kwanini aliitumia kutuibia.Mtu akiongea midenda inamtoka na vibration haziishi
Ukiwemo Wewe Na Mama Yako Mzazi,