Research organisation za kibongo kama zote ni dhaifu na zinafanya kazi za kidalali (intermediaries oriented) na sio product oriented

Artifact Collector

JF-Expert Member
Mar 7, 2019
6,539
10,007
Katika kautafit nilichokafanya nimegundua research organization za kibongo (ambazo sitazitaja majina), nyingi zinafanya kazi za kidalali.

Unakuta research organization focus yake inasubiria client aje ampe tenda ya kumkusanyia data mostly primary data, alafu inajiita research organization ukiangalia hii sio kaz za strong research organization.

Kwa sababu sababu moja kubwa ya strong research organization angalau zije na products, au methods ya kutatua tatizo fulani, lakin Kwa Tanzania ni tofauti

Na kwanin nasema zinafanya kaz za kudalali, angalia bara LA afrika lilivyo nyuma katika kila nyanja hii ,japokuwa sababu zipo nyingi ila moja ni kutokua na strong research organization

Ili afrika iendelee lazima kuwe na strong research organization zitakazo focus na kutatua matatizo ya afrika, na sio kusubiria domestic and foreign organization wawape kazi za kukusanya primary data (kaz za kidalali)
 
Shida kubwa ni namna ya kupata wafadhili
Ila zina umuhimu mkubwa.
Inashangaza sana, upande wa science ni kama vile hazipo. Hazitoi majawabu lwa changamoto nyingi zinazotuzunguka
 
Sasa ndugu wewe umeliona hilo gap kwanini usichukue hatua kufidia hilo gap? Au unataka mwingine asieliona hilo gap ndo aje afanye une ulalamike wameiba wazo lako mkuu?
Wazo lipi tena mbona nimeongelea vitu vilivyowazi kabisa
 
Hahaaa.. unaongelea research za Africa?.. researchers wa huku wanachojua ni kupika data tu na kufabricate stories.. hakuna institutions ambazo ziko serious kuhusu utatuzi wa matatizo ya Africa. Research centers ziko ki omba omba zaidi.. kuwafurahisha wazungu ili waendelee kutoa pesa.. Africa haina original research agenda ya kwake binafsi.. kwani haina raslimali zozote zinazotakiwa katika ufanyaji wa utafiti..

Mizizi ya huu udhaifu unaanzia mbali sana. Kwamba Africa haina falsafa linapokuja swala la knowledge.. knowledge iliyopo Africa inakuwa regulated na wazungu, kupitia mifumo mbali mbali ya UN na mengine ya serikali za kidunia.. kwa hiyo wao ndo wanaamua Africa ijuwe nini na kwa kiwango kipi.. utasikia mfano kuna utitiri kibao wa international rsearch centers mfano IITA, ICRISAT, CMMYT, ILRI, IRRI.. CIAT.. IAEA, ICRAF, nk.. hizi hazina manufaa kwetu kama waafrica, ila kazi yake ni pamoja na kuhakikisha censorship katika knowledge hasa ya waafrica inafanyika, kwa faida yao.

Watafiti.. wako hoi, njaa kali. Kwa hiyo akijitokeza mzungu kutoka kwenye hayo mashirika jamaa wanamtetemekea kufa mtu.. kazi ya utafiti watakayoifanya wala si kwa maslahi ya nchi au bara, bali ni kwa maslahi ya aliyetoa dola..

Yapo mengi ya kuandika.. niishie hapa.. tuendelee kujadili

Asante mtoa mada
 
This is a very good observation.

Ni kwa sababu ya neo-liberal research value chains.

Data ni raw material ambayo ina kusanywa huku, na inachakatwa (ina fanyiwa analysis) huko nchi za Magharibi na kutengeneza final products huko, kama publications in academic journals, na vitabu.

Some times donor organisations wana encourage hizi research value chains. Hii sio mbaya sana kwa sababu wao ndio wana toa hela.

Ila siku hizi donors wame anza kutumia local branches za western research organisations, kama OPM, IPA, EDI etc. Sababu moja wapo ni kwamba some times research assistants wa local research organisations wali kuwa wana kusanya data vibaya.

Matumizi haya ya local branches hizi yame punguza kwa kiasi fulani mapato ya local research organisations.
 
Kufanya tafiti ni gharama sana, hivyo nchi kama nchi lazima wawekeze huko, Ili kila taasisi zifanye tafiti za kutosha kwenye maeneo yao, bila hivyo kama utategemea hizi zinazoitwa Non gerverment organization waje kufanya tafiti kwa maendeleo ya nchi utasubiri sana, hawa wako kwa maslahi yao tu.
 
Hahaaa.. unaongelea research za Africa?.. researchers wa huku wanachojua ni kupika data tu na kufabricate stories.. hakuna institutions ambazo ziko serious kuhusu utatuzi wa matatizo ya Africa. Research centers ziko ki omba omba zaidi.. kuwafurahisha wazungu ili waendelee kutoa pesa.. Africa haina original research agenda ya kwake binafsi.. kwani haina raslimali zozote zinazotakiwa katika ufanyaji wa utafiti..

Mizizi ya huu udhaifu unaanzia mbali sana. Kwamba Africa haina falsafa linapokuja swala la knowledge.. knowledge iliyopo Africa inakuwa regulated na wazungu, kupitia mifumo mbali mbali ya UN na mengine ya serikali za kidunia.. kwa hiyo wao ndo wanaamua Africa ijuwe nini na kwa kiwango kipi.. utasikia mfano kuna utitiri kibao wa international rsearch centers mfano IITA, ICRISAT, CMMYT, ILRI, IRRI.. CIAT.. IAEA, ICRAF, nk.. hizi hazina manufaa kwetu kama waafrica, ila kazi yake ni pamoja na kuhakikisha censorship katika knowledge hasa ya waafrica inafanyika, kwa faida yao.

Watafiti.. wako hoi, njaa kali. Kwa hiyo akijitokeza mzungu kutoka kwenye hayo mashirika jamaa wanamtetemekea kufa mtu.. kazi ya utafiti watakayoifanya wala si kwa maslahi ya nchi au bara, bali ni kwa maslahi ya aliyetoa dola..

Yapo mengi ya kuandika.. niishie hapa.. tuendelee kujadili

Asante mtoa mada
Umeandika kwa uchungu sana ...umereflect ukweli
 
Katika kautafit nilichokafanya nimegundua research organization za kibongo (ambazo sitazitaja majina), nyingi zinafanya kazi za kidalali.

Unakuta research organization focus yake inasubiria client aje ampe tenda ya kumkusanyia data mostly primary data, alafu inajiita research organization ukiangalia hii sio kaz za strong research organization.

Kwa sababu sababu moja kubwa ya strong research organization angalau zije na products, au methods ya kutatua tatizo fulani, lakin Kwa Tanzania ni tofauti

Na kwanin nasema zinafanya kaz za kudalali, angalia bara LA afrika lilivyo nyuma katika kila nyanja hii ,japokuwa sababu zipo nyingi ila moja ni kutokua na strong research organization

Ili afrika iendelee lazima kuwe na strong research organization zitakazo focus na kutatua matatizo ya afrika, na sio kusubiria domestic and foreign organization wawape kazi za kukusanya primary data (kaz za kidalali)
Lazima wafanye udalali, kumbuka research zinahitaji fedha na serikali zetu hazitengi fedha kwenye tafiti. Sasa wakija wageni na fedha zao lazima kazi zifanyike.
 
Kwa nini wewe usiwape pesa za kufanya utafiti kila mara watakapojisikia ili wasifanye hizo kazi za kidalali?
Katika kautafit nilichokafanya nimegundua research organization za kibongo (ambazo sitazitaja majina), nyingi zinafanya kazi za kidalali.

Unakuta research organization focus yake inasubiria client aje ampe tenda ya kumkusanyia data mostly primary data, alafu inajiita research organization ukiangalia hii sio kaz za strong research organization.

Kwa sababu sababu moja kubwa ya strong research organization angalau zije na products, au methods ya kutatua tatizo fulani, lakin Kwa Tanzania ni tofauti

Na kwanin nasema zinafanya kaz za kudalali, angalia bara LA afrika lilivyo nyuma katika kila nyanja hii ,japokuwa sababu zipo nyingi ila moja ni kutokua na strong research organization

Ili afrika iendelee lazima kuwe na strong research organization zitakazo focus na kutatua matatizo ya afrika, na sio kusubiria domestic and foreign organization wawape kazi za kukusanya primary data (kaz za kidalali)
 
Katika kautafit nilichokafanya nimegundua research organization za kibongo (ambazo sitazitaja majina), nyingi zinafanya kazi za kidalali.

Unakuta research organization focus yake inasubiria client aje ampe tenda ya kumkusanyia data mostly primary data, alafu inajiita research organization ukiangalia hii sio kaz za strong research organization.

Kwa sababu sababu moja kubwa ya strong research organization angalau zije na products, au methods ya kutatua tatizo fulani, lakin Kwa Tanzania ni tofauti

Na kwanin nasema zinafanya kaz za kudalali, angalia bara LA afrika lilivyo nyuma katika kila nyanja hii ,japokuwa sababu zipo nyingi ila moja ni kutokua na strong research organization

Ili afrika iendelee lazima kuwe na strong research organization zitakazo focus na kutatua matatizo ya afrika, na sio kusubiria domestic and foreign organization wawape kazi za kukusanya primary data (kaz za kidalali)

wanalipwa na nani? serikali inatenga hela za tafiti? kama ni private hela wanapataje?

ebu tueleweshe ndugu
 
wanalipwa na nani? serikali inatenga hela za tafiti? kama ni private hela wanapataje?

ebu tueleweshe ndugu
Kuna investors na venture capital nyingi tu zinazowapa ela research organization wanaokuja na innovative idea tatizo letu hatutak kuumiza akili
 
Huo sio udalali?
Kazi ya research organizations ni kufanya utafiti wa masuala au kuja na innovative ideas?
Unaweza kutoa mfano wa innovative ideas zilizowahi kutoka katika research organizations sehemu yoyote duniani?
Kuna investors na venture capital nyingi tu zinazowapa ela research organization wanaokuja na innovative idea tatizo letu hatutak kuumiza akili
 
Wewe ni Bashe kama sio basi unaakili zinafanana alicho kizungumza jana wakati wa kuchangia alichomeka jambo hili ila tu wavivu
 
Huo sio udalali?
Kazi ya research organizations ni kufanya utafiti wa masuala au kuja na innovative ideas?
Unaweza kutoa mfano wa innovative ideas zilizowahi kutoka katika research organizations sehemu yoyote duniani?
Hayo maendeleo unayo yaona developed countries ni matokeo ya kaz za research organization
 
Kipi Kati ya hivi ni matokeo ya research organizations?
Gari,Ndege, computer, softwares,simu,internet, barabara,maji,guns Antibiotics, etc ?
Hayo maendeleo unayo yaona developed countries ni matokeo ya kaz za research organization
 
Back
Top Bottom