Remembering Ben

Halafu, nani alishinda?
 
me naomba nisiwe mnafki kumpiga picha nisingejaribu ila nisingemsaidia
[HASHTAG]#Yamoyoni[/HASHTAG]
 
Kama sii hofu huyo dogo angeweza kufanya ni kumng'ata huyo chatu, maana chatu huwa haponi jeraha na kwa mantiki hiyo hayuko tayari kujeruhiwa. Aji unroall na kutoka nduki!!!!

mshana jr umeihusianisha vipi picha hii na Ben?
 
Omba Mungu usije ata ajali halafu wakwanza kufika ni mpiga picha au mwandishi! The more you struggle the more they sell
 
Kama sii hofu huyo dogo angeweza kufanya ni kumng'ata huyo chatu, maana chatu huwa haponi jeraha na kwa mantiki hiyo hayuko tayari kujeruhiwa. Aji unroall na kutoka nduki!!!!

mshana jr umeihusianisha vipi picha hii na Ben?
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…