RELIABLE clearing agent tuwasiliane.

RELIABLE clearing agent tuwasiliane.

Amoeba

JF-Expert Member
Joined
Aug 20, 2009
Posts
3,288
Reaction score
793
Wakuu, nahitaji kampuni ya clearing agent, waaminifu, wazoefu, sitaki bei za kubambikiwa. Pia awe na uwezo wa bargain na TRA (mtu anayehitaji huduma ana machungu na hela)
Weka mawasiliano na anwani zote hapa.
 
Amoeba tumekutana tena..clearing agent wengi ni wababaishaji hasa wale wenye ofisi za briefcase ndio kabisaaa..uwa natuma sana mizigo hivyo nimekutana nao sana lakini sintamsahau muhindi mmoja anajua sana sheria za kodi na bandari japo kuwa malipo yake ni juu kidogo...kuna wakati kodi ya tra na storage ilikuja kama 6ml halinikataza kuilipa alienda kuongea nao baadaye ikashuka mpaka 2.7ml ni mzuri sana..contacts zake nimepoteza lakini nawezamtafuta...otherwise tafuta agent mwenye ofisi baada ya kuongea naye wawezagundua kama ni kishoka au yupo fit...
 
Back
Top Bottom