marcoveratti
JF-Expert Member
- Sep 21, 2017
- 968
- 1,695
Mashindano Ya kombe la Dunia Yakiwa Yanaendea Kuna Baadhi Ya matukio na Rekodi kadhaa ziliwekwa na Timu na wachezaji Binafsi.Hizi ni Baadhi Ya Rekodi katika mashindano.
Qatar imekuwa timu Ya kwanza mwenyeji kupoteza mechi Ya Ufunguzi, Timu Ya kwanza Kuondolewa katika mashindano baada Ya michezo 2, Timu Ya kwanza mwenyeji kuondoka na Alama 0 na kushika mkia katika Group.
Gracias Qatar ,Qatar Wame set standard Namna gani Ya kuandaa Mashindano
Atiba Hutchinson ameweka rekodi Ya kuwa mchezaji mkubwa zaidi kushiriki Kombe la Dunia nchini Qatar akiwa na miaka 39 ni mkubwa kwa zaidi Ya Siku 100 kumzidi Dani Alves wa Brazil.
Gavi ndio mchezaji mdogo kufunga katika mashindano Ya kombe la Dunia Huko Qatar, Akiwa na miaka 18 Tu na mchezaji mdogo kucheza Mashindano hadi sasa.
Mechi iliyowakutanisha Korea kusini dhidi Ya Uruguay ilitamatika bila ya kupigwa shuti lolote lililolenga lango, Ni Rekodi na mara Ya kwanza katika historia Ya Kombe la Dunia kwa Karne Hii.
Enner Valencia Amekuwa mchezaji wa kwanza kufunga goli la Kwanza la Kombe la Dunia nchini Qatar . Amekuwa mchezaji wa kwanza kushinda Tuzo ya mchezaji bora wa mechi .
Cristiano Ronaldo ameweka Rekodi Ya kuwa mchezaji wa kwanza Kufunga katika Kila mashindano Ya Kombe la Dunia aliyocheza ,ameshirikia fainali kombe la Dunia mara Tano
2006, 2010,2014, 2018 na 2022.
Robert Lewandoski amefunga goli la kwanza katika mashindano Ya kombe la Dunia (alikuwa hajawahi Funga katika Kombe la Dunia).
Ushindi mkubwa kwa Timu katika mashindano ni Waliopata Hispania dhidi Ya Costa Rica wa 7-0 Na Senegal wamekuwa Timu Ya kwanza kutoka bara la Afrika kufuzu hatua inayofuata
Bravo .
NB:MATUKIO GANI NA REKODI NYINGINE UNAYO YAKUMBUKA YALIYO TOKEA QATAR MPAKA SASA
Credit Dezo Maesto Twitter
.View attachment 2431887
Qatar imekuwa timu Ya kwanza mwenyeji kupoteza mechi Ya Ufunguzi, Timu Ya kwanza Kuondolewa katika mashindano baada Ya michezo 2, Timu Ya kwanza mwenyeji kuondoka na Alama 0 na kushika mkia katika Group.
Gracias Qatar ,Qatar Wame set standard Namna gani Ya kuandaa Mashindano
Atiba Hutchinson ameweka rekodi Ya kuwa mchezaji mkubwa zaidi kushiriki Kombe la Dunia nchini Qatar akiwa na miaka 39 ni mkubwa kwa zaidi Ya Siku 100 kumzidi Dani Alves wa Brazil.
Gavi ndio mchezaji mdogo kufunga katika mashindano Ya kombe la Dunia Huko Qatar, Akiwa na miaka 18 Tu na mchezaji mdogo kucheza Mashindano hadi sasa.
Mechi iliyowakutanisha Korea kusini dhidi Ya Uruguay ilitamatika bila ya kupigwa shuti lolote lililolenga lango, Ni Rekodi na mara Ya kwanza katika historia Ya Kombe la Dunia kwa Karne Hii.
Enner Valencia Amekuwa mchezaji wa kwanza kufunga goli la Kwanza la Kombe la Dunia nchini Qatar . Amekuwa mchezaji wa kwanza kushinda Tuzo ya mchezaji bora wa mechi .
Cristiano Ronaldo ameweka Rekodi Ya kuwa mchezaji wa kwanza Kufunga katika Kila mashindano Ya Kombe la Dunia aliyocheza ,ameshirikia fainali kombe la Dunia mara Tano
2006, 2010,2014, 2018 na 2022.
Robert Lewandoski amefunga goli la kwanza katika mashindano Ya kombe la Dunia (alikuwa hajawahi Funga katika Kombe la Dunia).
Ushindi mkubwa kwa Timu katika mashindano ni Waliopata Hispania dhidi Ya Costa Rica wa 7-0 Na Senegal wamekuwa Timu Ya kwanza kutoka bara la Afrika kufuzu hatua inayofuata
Bravo .
NB:MATUKIO GANI NA REKODI NYINGINE UNAYO YAKUMBUKA YALIYO TOKEA QATAR MPAKA SASA
Credit Dezo Maesto Twitter
.View attachment 2431887