mshamba_hachekwi
JF-Expert Member
- Mar 3, 2023
- 23,306
- 75,471
Ni sawa, ila nashangaa sana kwanini wabongo tunaibua haya masuala wakati kwa nijuavyo sisi ni wakristo na waislamu hatuamini hivyo kabisa.Wa reincarnation wana fact kubwa sana ukiwafuatilia kuliko takataka wakristo, japo nao bado kuna maswali lukuki
Allah na Yahweh hawaruhusu mtu kuzaliwa upya.