Reginald Mengi, Waziri Sospeter Muhongo WASHIKANA Mashati...!!

Reginald Mengi, Waziri Sospeter Muhongo WASHIKANA Mashati...!!

Ni aibu kwa huyu Mzee Mengi kulia lia kama mtoto kila wakati! kulalamika lalamika tu kila wakati kwa mtu mzima kunakupunguzia heshima. Umeambiwa toa majibu ya vitalu ambavyo hujaviendeleza ukisubiri kuvilangua. Tanzania hatuitaji wawekezaji walanguzi kwa sasa. Hiyo issue ya uzawa isiwe issue kwani baada ya uhuru 1961 viwanda na njia zote za uzalishaji ziliwekwa mikononi mwa wazawa kupitia Azimio la Arusha. Lakini ni wazawa hawa hawa ambao wameliibia na kulibomoa Taifa. HATUTAKI UJINGA HUO TENA. Unazo pesa weka mezani, hauna kafie mbele, usisubiri kuonewa huruma. MZEE MZIMA HOVYO NA ULANGUZI!
 
Mengi ni takataka hata kwenye jamii hafai ni mchafu fisadi kuliko kawaida.

Hata kama unamchukia mtu kiasi gani huwezi kumuita hivyo, unaposema hivyo kwenye purple inamaana anafanana na hata zile p...zinazotumiwa na dada zetu? Mkuu Simiyu yetu hakika hujamtendea haki mhe. Mw/kiti.

Pili, unasema mchafu, uchafu wake ni upi? Sema basi uchafu wake ili ajisafishe! Na JE, alishakuchafu
a?
 
Nahisi Mhongo ametokea katika lindi la umasikini kwa sababu wahenga wanasema "masikini akipata ma.ta.ko ulia mbwata", uwa nachukia kauli zake za dharau, kajeli na kubeza, ana kiasi kikubwa cha ushamba na ulimbukeni japo ni mtu mzima, samahani kama nitakuwa nimekwaza.

watu kama nyie mmezoea kudanganywa na maneno matamu ndio, mkipewa makavu mnalia. Mh Muhongo ameishastukia mchezo anaotakakuucheza fisadi Mengi nawenzie Mengi kwa machoyangu amehozi mgodi wafensy RUBY tanga kalalani kaufunga na ulinzi wakutosha mzee PITER mwenye lile eneo na familia yake wanakufa maskin huku mengi anajidai anatetea maslai ya raia UNAFIKIGANI MTUMZIMA HUYU.
 
Great Thinker angependa kujua sera ya umiliki wa vitalu vya madini inasemaje kuhusu wamiliki wanaoshindwa kuendeleza vitalu vyao?Je,kuna hatua zozote wanazopaswa kuchukuliwa.Na je ni nani mwenye mamlaka ya kuchukua hatua hizo,ni sisi(wananchi wa kawaida) au ni serikali(wizara iliyo chini ya Prof. Muhongo?

Au ndio yaleee ya wauza unga...kwamba,tukisema tuwataje,haponi mtu hapa!
 
mi nadhani hili swala kwanza prop atuombe msamaha,pia alichosema mengi sio kibaya,kama mengi mchafu wapewe watanzania wenye malengo,
 
nashukuru sana mkuu!! watanzania hawaelewi ,wanamuona eti mtu mzuri anayetoa misaada ,ili aonekane mtu mwema katika jamii,huyu babu analilia tumbo lake kwa kigezo cha uzawa!!!!,anachosema pr.ni kweli ,anatumia media za vibaya
 
poa bro nakukubali sana!!! huyo mzee watanzania weng hawajamjua!!!!,ni mtu wa namna gani wao wanashingilia tu wanafikiri mengi anawatetea,waulize kwanin watangazaji wengi wanakimbia kenye midia zake,anataka kufika juu kwa kuwa kanyaga watanzania kichwani ,ukooo wake uendelee kuwa bilioneire,haikubaliki
 
Jamani tufikie mahali tusema imetosha...na hizi Rants za muhongo zifikie mwisho.NI ajabu sana kushindanisha "Fundi " na "msimamizi wake" nashangaa watanzania hili hawaliona hadi wanampatia Muhongo platform ya kubwabwaja na kudhalilisha wanampangia na kushape kibarua chake.Waweka mikakati ya kiutawala,kibiashara na usitawi wa taifa ni tofauti sana na "Mafundi" jamani.Muhongo ni fundi tuu...anayesubiri kulipwa kwa anachokifanya na kujitetea kwake ni kuonyesha ufundi wake wa kuchoronga miamba na kupredict nini kitapatikana wapi ktk sehemu gani yamiamba.Hapo ndipo anapotakiwa kuthibitisha uwezo wake ili aendelee kula ugali.Tofauti sana na akina Mengi wanaodetermine wapi muhongo akagombee kupewa kibarua kwa kuthibitisha uwezo wake.......KWA UJUMLA JK ANATAKIWA AGUNDUE KESHAKOSEA KUMKARIBISHA FUNDI KTK KIKAO CHA MANAGERIAL NA BUSINESS PEOPLE KTK STAGE MBAYA..HUWA MAFUNDI HUITWA KUTOA MIPANGO YA UTENDAJI NABAADAYE KUTOLEWA,KWANZA WAKIONA BUDGET HUW AMAFUNDI AKILI ZAO HUARIBIKA KWA KUZIONA NYINGI..NA KUTAKA KUTHIBITISHA KUWA WANAJUA KAZI KULIKO FOREMEN.NDIO MAANA MUHONGO ALIKUWA AKIMWONA MENGI KUWA NI DALALI WA NGUVU ZA VIBARUA KM YEYE.NDIO MAANA HATA HAKUWA NA MUDA WA KUJUA UZALENDO WALA MAANA YAKE NINI.HII NDIO SHID AYA KUKARIBISHA HOUSE BOY KTK MIPANGO YA AJIRA KWA WENGINE.
 
hivi siku zote tunahangaika na muhongo kumbe ni FUNDI tu wa KUCHORONGA MIAMBA !
 
hivi siku zote tunahangaika na muhongo kumbe ni FUNDI tu wa KUCHORONGA MIAMBA !
Nchi ya JK sasa ni kituko...Wanampa "fundi" nafasi ya kuongoza wakati wamempa task ya kuthibitisha ufundi wake.....hakuna atakachoongea zaidi ya kuweka mbwembwe ktk ufundi.Mbaya sana hakuna kitu kibaya km kumfundisha fundi asiye hata fundi mchumi kuongelea hela.Waulize contractors...
 
Inawezekana Mengi ana matatizo yake lakini hoja aliyoiwekamezani ina mashiko. Wapo matajiri wengi wasio wazawa nchi hii ambao wameiibiaserikali na wengi bado wanafanya hivyo kwa kukwepa kodi, kwa hiyo Mengialipoanzia na alipo, si exception. Ni ukweli usiopingika kuwa serikali yetutoka uhuru umeipa uwezeshaji wa wazawa kisogo. Wazawa wamekuwa watu wakusindikiza hoja zote za maendeleo huku serikali, labda kwa sababu ya rushwaimekuwa ikikumbatia wageni hata kwenye sekta ambazo hazihitaji wageni. Hakunataifa duniani lililoibuka kutoka kwenyelindi la umaskini linaloendelea kwa kudharau watu wake (nenda India, S.Korea, China,Malaysia, etc). Kwa jinsi ilivyo nashawishika kulinganisha mawazo ya “Prof”Muhongo na mawazo ya kikoloni, kuwa mtu mweusi hawezi chochote na nashawishikakukubali kuwa hiyo ndiyo sera ya serikali iliyopo madarakani. Nina imaniMtanzania akiwezesha na akapewa fursa ya kufanya anaweza kufanya. Nakumbukawakati wa awamu ya Mkapa kulikuwa na uundaaji wa sera ya “Kuwawezesha WananchiKiuchumi”. Waandaaji walifanya tafiti nahata kupata uzoefu wa mataifa mengine. Mwisho wa siku, labda kwa sababu yaubinafsi, andiko lile limetupwa kapuni na kwa maoni yangu hata Baraza laUwezeshaji Wananchi Kiuchumi (NEEC) ni kiini macho kwani sioni ilichosaidiampaka sasa. Tumekuwa na uandaaji wa sera ya gesi, labda kwa sababu ya rushwaambayo ‘Prof.’ Muhongo hakuijua alipokuwa anaingia ofisini, imeitupwa pembeni. Kwamaoni yangu huwezi futa sera na sheria inayoweza kulinda rasilimali ya kizazicha sasa na baadaye kwa kuja na mikataba ambayo mwisho wa siku inawezakubadilika bila hata kuwashirikisha wananchi --- nikimaanisha 75% foreign/25% localownership kwenye visima vya gesi na mafuta na kinyume chake mara baada yamwekezaji wa kigeni kurudisha gharama zake. Hii ni muhimu iwe kwenye sheria nasera na si azimio la rais na baraza lake la mawaziri ambao nadhani upeo waounaweza kuathiriwa na rushwa na ushwawishi wa mapepari kutoka nje.

 
Nchi ya JK sasa ni kituko...Wanampa "fundi" nafasi ya kuongoza wakati wamempa task ya kuthibitisha ufundi wake.....hakuna atakachoongea zaidi ya kuweka mbwembwe ktk ufundi.Mbaya sana hakuna kitu kibaya km kumfundisha fundi asiye hata fundi mchumi kuongelea hela.Waulize contractors...
Sijui kwanini akina muhongo wanapoteza muda bungeni wakati walitakiwa wawe wanapiga digger.
 
kama hujatumua nguvu kubwa ku-comment,lazima ujue mda wa hii thread.
05:36 14th September 2013!!
 
watu kama nyie mmezoea kudanganywa na maneno matamu ndio, mkipewa makavu mnalia. Mh Muhongo ameishastukia mchezo anaotakakuucheza fisadi Mengi nawenzie Mengi kwa machoyangu amehozi mgodi wafensy RUBY tanga kalalani kaufunga na ulinzi wakutosha mzee PITER mwenye lile eneo na familia yake wanakufa maskin huku mengi anajidai anatetea maslai ya raia UNAFIKIGANI MTUMZIMA HUYU.

Usimamizi wa rasimali ya gesi na mafuta uko chini ya TIPER kama sijakosea, hiki chombo cha kitaifa ambacho hakimilikiwi na ukoo wala familia, lakini sera ya gesi inasema kutakuwa na mfuko wa gesi ambao mapato yote yatawekwa humo, pesa yake haitotoka mpaka kwa idhini ya bunge,minadhani busara kwa sasa kuacha utaratibu huu ukafuatwa.
 
Back
Top Bottom