Reginald Mengi imarisha ITV

Reginald Mengi imarisha ITV

Azam inaelekea kuwa mshindani mkuu wa itv, mzee Mengi achukue maoni ya wadau hapa ili afanye maboresho ya kuifanya itv iwe ya kisasa zaidi.
 
Nakuandikia waraka huu kwa kutambua kuwa kituo cha luninga cha Itv ndicho kinachoangaliwa na idadi kubwa ya wananchi.

Kwa sasa kituo hiki kinachukuliwa kama luninga ya Taifa baada ya ile ya Taifa kushindwa kutimiza wajibu wake kwa jamii na kujipambanua kama luninga ya ccm.

Kinachonisukuma kukuandikia waraka huu ni kukuomba uwekeze ktk kuimarisha kituo hiki kwa vifaa vya teknolojia ya kisasa na wataalam.

Inaniuma kuona Itv ikishindwa kurusha matangazo ya moja kwa moja kama inavyoonekana leo ktk matangazo ya kampeni ya Ukawa huko Mbeya.

Matangazo yanakatika hii ikiwa ni ishara ya kukosekana uwekezaji wa kutosha. Kituo hiki kina umri mkubwa na hata studio zake hazifanani na umri wake.
MZEE MENGI inaonyesha ameridhika sana na hizi tuzo za "super brand" nashauri apate DESA la CITIZEN YA KENYA,Wako vizuri na watangazaji wanawajibika na wako very presentable,pia wapewe uhuru kuliko kubanwa na utashi wa mmiliki katika kutekeleza majukumu yao,
 
Nchi hii ITV, ni wakongwe ktk tasnia ya habari luningani.. hakuna kituo cha kushindana na ITV, hata wakiwa na quality mbovu kiasi gani ya picha! Walishajijengea jina, na kuaminika, ndio maana watu hawaachi kuwatizama kila leo!

AZAM TV, watasubiri sana, fanya research ujue ni watanzania wangapi wanaangalia AZAM tv, then ndio ulinganishe na ITV. Azam tv uwalinganishe na Channel 10...

Mmesahau kuwa ITV NA EATV ndio vituo bora vya luninga East Africa (Super brand) kwa miaka mitatu mfululizo. Sasa cjui nyie mnatumia nn kuanalysi hili jambo. Kukatika kwa matangazo, hata CNN, BBC, SKY NEWS, n.k huwa zinakatika kutegemeana na hali ya hewa.

Pamoja na yote hayo, ITV boresheni huduma zenu.
 
Ni kweli asee Mzee mengi wekeza zaidi kwenye mitambo..mbona pesa unayo tatizo nini?
 
Acheni izo kwani matatizo mlikua hamyaoni ila baada ys kuzingua kwenye mkutano wa ukawa ndo liwe tatizo
 
Nchi hii ITV, ni wakongwe ktk tasnia ya habari luningani.. hakuna kituo cha kushindana na ITV, hata wakiwa na quality mbovu kiasi gani ya picha! Walishajijengea jina, na kuaminika, ndio maana watu hawaachi kuwatizama kila leo!

AZAM TV, watasubiri sana, fanya research ujue ni watanzania wangapi wanaangalia AZAM tv, then ndio ulinganishe na ITV. Azam tv uwalinganishe na Channel 10...

Mmesahau kuwa ITV NA EATV ndio vituo bora vya luninga East Africa (Super brand) kwa miaka mitatu mfululizo. Sasa cjui nyie mnatumia nn kuanalysi hili jambo. Kukatika kwa matangazo, hata CNN, BBC, SKY NEWS, n.k huwa zinakatika kutegemeana na hali ya hewa.

Pamoja na yote hayo, ITV boresheni huduma zenu.

Hapana, ITV imezidiwa na AZAM kwa sasa, sema Azam watu wengi hawaipati hewani kwa kuwa hayupo kwenye visimbuz kama Star times. Ni ombi kwa Azam Media moja ya TV zake za habari basi aiweke kule Startimes ili ateke soko zaidi. Asiweke zile za michezo, aweke ile ya habari itamsaidia sana!
 
Nakuandikia waraka huu kwa kutambua kuwa kituo cha luninga cha Itv ndicho kinachoangaliwa na idadi kubwa ya wananchi.

Kwa sasa kituo hiki kinachukuliwa kama luninga ya Taifa baada ya ile ya Taifa kushindwa kutimiza wajibu wake kwa jamii na kujipambanua kama luninga ya ccm.

Kinachonisukuma kukuandikia waraka huu ni kukuomba uwekeze ktk kuimarisha kituo hiki kwa vifaa vya teknolojia ya kisasa na wataalam.

Inaniuma kuona Itv ikishindwa kurusha matangazo ya moja kwa moja kama inavyoonekana leo ktk matangazo ya kampeni ya Ukawa huko Mbeya.

Matangazo yanakatika hii ikiwa ni ishara ya kukosekana uwekezaji wa kutosha. Kituo hiki kina umri mkubwa na hata studio zake hazifanani na umri wake.

Kwa kuwa kituo hiki bado ni tegemeo kubwa kwa watanzania ni vyema juhudi za makusudi zikafanyika kukiimarisha ikiwa ni pamoja na kununua kamera za HD. Nawasilisha tafadhali.

wengi wanaoangalia ni kutoka kskz sikiliza matangazo ya vifo radio ONE
 
Hapana, ITV imezidiwa na AZAM kwa sasa, sema Azam watu wengi hawaipati hewani kwa kuwa hayupo kwenye visimbuz kama Star times. Ni ombi kwa Azam Media moja ya TV zake za habari basi aiweke kule Startimes ili ateke soko zaidi. Asiweke zile za michezo, aweke ile ya habari itamsaidia sana!

Imezidiwa kwa lipi, kinachomata ni watazamaji? Sio quality ya picha.. ITV na EATV ndio vituo vinavyopendwa na kutizamwa zaidi East Africa.....
 
Nakuandikia waraka huu kwa kutambua kuwa kituo cha luninga cha Itv ndicho kinachoangaliwa na idadi kubwa ya wananchi.

Kwa sasa kituo hiki kinachukuliwa kama luninga ya Taifa baada ya ile ya Taifa kushindwa kutimiza wajibu wake kwa jamii na kujipambanua kama luninga ya ccm.

Kinachonisukuma kukuandikia waraka huu ni kukuomba uwekeze ktk kuimarisha kituo hiki kwa vifaa vya teknolojia ya kisasa na wataalam.

Inaniuma kuona Itv ikishindwa kurusha matangazo ya moja kwa moja kama inavyoonekana leo ktk matangazo ya kampeni ya Ukawa huko Mbeya.

Matangazo yanakatika hii ikiwa ni ishara ya kukosekana uwekezaji wa kutosha. Kituo hiki kina umri mkubwa na hata studio zake hazifanani na umri wake.
MZEE MENGI inaonyesha ameridhika sana na hizi tuzo za "super brand" nashauri apate DESA la CITIZEN YA KENYA,Wako vizuri na watangazaji wanawajibika na wako very presentable,pia wapewe uhuru kuliko kubanwa na utashi wa mmiliki katika kutekeleza majukumu yao,
Hakuna biashara anayoweza huyu mzee,yeye not sifa tuu vikao ktk mahotel na kumwalika rais.bla bla nyingi sii mtendaji kama bakhresa
 
Nchi hii ITV, ni wakongwe ktk tasnia ya habari luningani.. hakuna kituo cha kushindana na ITV, hata wakiwa na quality mbovu kiasi gani ya picha! Walishajijengea jina, na kuaminika, ndio maana watu hawaachi kuwatizama kila leo!

AZAM TV, watasubiri sana, fanya research ujue ni watanzania wangapi wanaangalia AZAM tv, then ndio ulinganishe na ITV. Azam tv uwalinganishe na Channel 10...

Mmesahau kuwa ITV NA EATV ndio vituo bora vya luninga East Africa (Super brand) kwa miaka mitatu mfululizo. Sasa cjui nyie mnatumia nn kuanalysi hili jambo. Kukatika kwa matangazo, hata CNN, BBC, SKY NEWS, n.k huwa zinakatika kutegemeana na hali ya hewa.

Pamoja na yote hayo, ITV boresheni huduma zenu.

hizi sifa ulizotoa balaa sasa mangi unataka mengi aboreshe nini tena.
 
Nakuandikia waraka huu kwa kutambua kuwa kituo cha luninga cha Itv ndicho kinachoangaliwa na idadi kubwa ya wananchi.

Kwa sasa kituo hiki kinachukuliwa kama luninga ya Taifa baada ya ile ya Taifa kushindwa kutimiza wajibu wake kwa jamii na kujipambanua kama luninga ya ccm.

Kinachonisukuma kukuandikia waraka huu ni kukuomba uwekeze ktk kuimarisha kituo hiki kwa vifaa vya teknolojia ya kisasa na wataalam.

Inaniuma kuona Itv ikishindwa kurusha matangazo ya moja kwa moja kama inavyoonekana leo ktk matangazo ya kampeni ya Ukawa huko Mbeya.

Matangazo yanakatika hii ikiwa ni ishara ya kukosekana uwekezaji wa kutosha. Kituo hiki kina umri mkubwa na hata studio zake hazifanani na umri wake.

Kwa kuwa kituo hiki bado ni tegemeo kubwa kwa watanzania ni vyema juhudi za makusudi zikafanyika kukiimarisha ikiwa ni pamoja na kununua kamera za HD. Nawasilisha tafadhali.

Dalili ya anguko kubwa kwa mgombea wako
Only Makufuri can change Tz.
 
Jembekillo.Ukiwa na swala lisilohusiana na mada husika inayojadiliwa tafadhali usiingilie mada za watu. Hapa ktk jukwaa hili hatujadili ushirikina bali tunajadili issues za kujenga Taifa. Ulichokileta wewe hapa mada ya mvuto ni ushirikina na inaonekana huna hata hofu ya mungu kwa kupost mambo ya ajabu humu ndani. Wewe tenda mema tu watu watakupenda na kukuthamini na kamwe usihusudu ushitikina. Pepo wewe ushindwe
 
Ni aibu mengi unashidwa hata na star tv? Alafu unadai ww tajir , utajir gani wa mashetani huo mengi
 
Nchi hii ITV, ni wakongwe ktk tasnia ya habari luningani.. hakuna kituo cha kushindana na ITV, hata wakiwa na quality mbovu kiasi gani ya picha! Walishajijengea jina, na kuaminika, ndio maana watu hawaachi kuwatizama kila leo!

AZAM TV, watasubiri sana, fanya research ujue ni watanzania wangapi wanaangalia AZAM tv, then ndio ulinganishe na ITV. Azam tv uwalinganishe na Channel 10...

Mmesahau kuwa ITV NA EATV ndio vituo bora vya luninga East Africa (Super brand) kwa miaka mitatu mfululizo. Sasa cjui nyie mnatumia nn kuanalysi hili jambo. Kukatika kwa matangazo, hata CNN, BBC, SKY NEWS, n.k huwa zinakatika kutegemeana na hali ya hewa.

Pamoja na yote hayo, ITV boresheni huduma zenu.

Acha uongo, tangu lini EATV ikashinda super brand? zaidi ya ku claim kwamba the number one youth channel slogan ambayo wamejistukia na wameiacha..mzee mengi afanye maboresho na uwekezaji ..wakiendelea na dharau zao watasanda..Azam ni serious investor!
 
Nchi hii ITV, ni wakongwe ktk tasnia ya habari luningani.. hakuna kituo cha kushindana na ITV, hata wakiwa na quality mbovu kiasi gani ya picha! Walishajijengea jina, na kuaminika, ndio maana watu hawaachi kuwatizama kila leo!

AZAM TV, watasubiri sana, fanya research ujue ni watanzania wangapi wanaangalia AZAM tv, then ndio ulinganishe na ITV. Azam tv uwalinganishe na Channel 10...

Mmesahau kuwa ITV NA EATV ndio vituo bora vya luninga East Africa (Super brand) kwa miaka mitatu mfululizo. Sasa cjui nyie mnatumia nn kuanalysi hili jambo. Kukatika kwa matangazo, hata CNN, BBC, SKY NEWS, n.k huwa zinakatika kutegemeana na hali ya hewa.

Pamoja na yote hayo, ITV boresheni huduma zenu.


Nadhani humjui vizuri Tido. Ila ni suala la mda tu utajua ukweli, sasa hivi azam tv wanampango wa kujitanua kurusha matangazo yatakayokua yanacover nchi za maziwa makuu na Kassim Kayila amesharipoti kutoka bbc kwa ajili ya kuanza kazi hiyo. Azam tv inalenga ndani na nje ya tanzania na ndani ya miaka mitano itakua imeshakamata soko kubwa ndani ya nchi za maziwa makuu.
 
Back
Top Bottom