Reginald Mengi ANENA -MABEGA YAMEWABEBA MSIYAKATE

Reginald Mengi ANENA -MABEGA YAMEWABEBA MSIYAKATE

Yes kweli. Unaingia mjini na foronya tu au marlboro sasa umewezeshwa unaanza kutoa matapishi
 
Huyu mzee naye mimi siku hizi sitaki hata kumuona tangu alazimishe eti yeye apewe vitaru vya gesi yeye binafsi badala ya watanzania wote nilimtoa thamani kabisa.
 
Kwa ushauri Mengi jitoe ukada wa ccm .stay neutral .amasivyo utapakwa uozo wa ufisadi .take my word .
 
Huyu mzee naye mimi siku hizi sitaki hata kumuona tangu alazimishe eti yeye apewe vitaru vya gesi yeye binafsi badala ya watanzania wote nilimtoa thamani kabisa.

Nina wasiwasi wewe utakuwa Prof wetu anayeongea hovyo kuhusu gesi yetu. Kwa mtanzania Wa kawaida hawezi akakubaliana na Prof Muhongo..
 
Nina wasiwasi wewe utakuwa Prof wetu anayeongea hovyo kuhusu gesi yetu. Kwa mtanzania Wa kawaida hawezi akakubaliana na Prof Muhongo..

yes, he has something in his brain! if at all we could have 10 people of such calibre, we could be 1000000000 km far away!
 
Anachokisema Mengi wengi wanakikosa, huwezi kufikishwa kileleni na mamilioni ya watu ukasau na kuona umejifikisha mwenyewe ndio maana wengi wanatumia EGO zao kuamua na kutenda badala ya kuona madhara makubwa yatakayotokea kwa maamuzi yao hata kama ni haki yao. Ukibwebwa na watu waheshimu na wakati mwingi jaribu kuvumilia kwa ajili yao. Keep a clean fight for ur peopls
 
Huyu mzee naye mimi siku hizi sitaki hata kumuona tangu alazimishe eti yeye apewe vitaru vya gesi yeye binafsi badala ya watanzania wote nilimtoa thamani kabisa.

Acheni kupakazia watu. Aliyekuambia Dogo Mengi ni mzee ni nani ? Hapo alipo hana mvi wala mjukuu ana watoto hata nursery hawajaanza. Acha kutusi watu.
 
Kumbe Mengi naye CDM, hiyo kauli inamlenga Zitto directly.
 
Huyu mzee naye mimi siku hizi sitaki hata kumuona tangu alazimishe eti yeye apewe vitaru vya gesi yeye binafsi badala ya watanzania wote nilimtoa thamani kabisa.

Mzee Mengi hakusema anataka apewe vitalu vya gesi yeye. Unapotosha ukweli makusudi kwa faida ya waliokutuma ama unauelewa finyu.
 
Kama kweli kayasema hayo basi muda si mrefu kuna watu wataumbuka,ccm bila kubebwa na mwenye uwezo huwezi kufika hapo walipo!
 
Mzee Mengi hakusema anataka apewe vitalu vya gesi yeye. Unapotosha ukweli makusudi kwa faida ya waliokutuma ama unauelewa finyu.

Dar hakuna wazee. wazee ni kuanzia Chalinze hadi kwenu. wazee wana mvi. Mengi ana mvi ? wazee wana wajukuu Mengi ana mjukuu. wazee hawaoi wake makinda. Mengi wake kamaliza form four juzi juzi tu na anavichanga. Wewe narudia tena wewe. Mengi ni papaa au pedeshhee au mutoto wa mujini au chevkbob wa zamani
 
Huyu mzee naye mimi siku hizi sitaki hata kumuona tangu alazimishe eti yeye apewe vitaru vya gesi yeye binafsi badala ya watanzania wote nilimtoa thamani kabisa.


Mkuu mjepo
Hebu tufafanulie kipi bora, je hivyo vitalu vimilikishwe kwa wa Tz.wazawa au watu wa nje ambao si wazawa.
 
Mabega maana yake ni WANANCHI waliowachagua viongozi

Hapana, ni ITV ilivyotumiwa na CCM kuwatisha wananchi kuwaonesha mauwaji ya Rwanda ili CCM kwa hofu ya kutokea vita.

Mwakani akigeukia upande wa pili mtatafutana. ITV ndio television ya Taifa.
 
Acheni kupakazia watu. Aliyekuambia Dogo Mengi ni mzee ni nani ? Hapo alipo hana mvi wala mjukuu ana watoto hata nursery hawajaanza. Acha kutusi watu.

Na wamesahau huyu Billionaire anaitwa babby na Klyn.
 
Back
Top Bottom