Regency hospital iko maeneo gani?

Regency hospital iko maeneo gani?

Ototo

JF-Expert Member
Joined
Jun 26, 2016
Posts
1,260
Reaction score
1,167
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza, naomba kuelekezwa mahali ilipo Regency hospital, maana sikio linauma sana na pale nasikia Kuna specialist wa masikio, kwa anaefahamu msaada tafadhali
 
Upanga/Kisutu karibu na makaburi ya Waislam, pembeni mwa shule ya Zanaki.
 
Kama unapanda basi shuka kituo cha fire ulizia

Kama unaenda na gari binafsi ukivuka mataa ya jengo la umoja wa vijana pembeni ya chuo cha D.I.T kuna barabara inaingia kushoto ya lami ukifuata hiyo unatokea mbele ya hospitali
 
Kama unapanda basi shuka kituo cha fire ulizia

Kama unaenda na gari binafsi ukivuka mataa ya jengo la umoja wa vijana pembeni ya chuo cha D.I.T kuna barabara inaingia kushoto ya lami ukifuata hiyo unatokea mbele ya hospitali
Kama anatokea Kigamboni, apande mabasi ya wapi ili ashukie Fire??
 
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza, naomba kuelekezwa mahali ilipo Regency hospital, maana sikio linauma sana na pale nasikia Kuna specialist wa masikio, kwa anaefahamu msaada tafadhali
Ya nn mkuu
 
Shukrani kwa maelekezo yenu, nawashukuru sana, maana hili sikio limenisumbua sana, nimeenda hospital 4 wanashindwa kabisa kunitibu
 
Wahi ukatibiwe mkuu usije kuwa unasikilizia sikio moja kama kunguru
 
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza, naomba kuelekezwa mahali ilipo Regency hospital, maana sikio linauma sana na pale nasikia Kuna specialist wa masikio, kwa anaefahamu msaada tafadhali
Una Smartphone tumia simu yako vizuri brother
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom