Refa Akikosea, Shughuli Yake Imeisha: Wallace Karia

Refa Akikosea, Shughuli Yake Imeisha: Wallace Karia

Pdidy

JF-Expert Member
Joined
Nov 22, 2007
Posts
61,023
Reaction score
36,870
#MsasaSports
Refa Akikosea, Shughuli Yake Imeisha: Wallace Karia

Rais wa TFF Wallace Karia akizungumza wakati wa kufunga Semina ya waamuzi wa ligi kuu ya NBC makao makuu ya TFF, Karume, Ilala amesema

“Msimu huu utakuwa msimu wa tofauti sana, kwa wale ambao watafanya vizuri tutapongezana, na kwa wale ambao watakuwa wapo tofauti tutakuwa tumeachana nao moja kwa moja kwenye hilo sitanii” – Wallace Karia
 
Kila timu itavuna ilicho panda.
Msimu uliopita Kuna timu ilivuna zaidi ya point 12 kwa ujanja ujanja.
Ilistahili nafasi ya 4 ikawa nafasi ya 2.
Tunasubiri uwajibikaji wa bodi ya ligi na marefa.
 
Yangu macho na kila.la kheri kama usemi wako n kutoka moyoni

Tulilia sana yanga na marefq kubeba Simba ukadmka na press conference anaepiga makele ya marefa uwanjaniwakacheze netball

Bado nawaza hii kauli ya moyon ama ukiwafurahisha waandishi wa habari
 

Attachments

  • 1757089072364.jpg
    1757089072364.jpg
    698.6 KB · Views: 19
Kwa hiyo anataka kusema magoli ya mkono kama ya ma BAKA ma BAKA hayaruhusiwi?
 
Kila timu itavuna ilicho panda.
Msimu uliopita Kuna timu ilivuna zaidi ya point 12 kwa ujanja ujanja.
Ilistahili nafasi ya 4 ikawa nafasi ya 2.
Tunasubiri uwajibikaji wa bodi ya ligi na marefa.
Kama inafanya vyema Kimataifa acha ibebwe huko kwenye ligi ya ndani.
 
Yanga ndio amelia sana na marefa mpaka huyu Kingunebe anakuja kujisemesha hivi ni kwa sababu anawabeba sana watu na timu yake lakini haibebeki.
Yanga hii kipa aliyoingia na mpira ndani ya neti alaf refa akasema ni kona?
 
Yangu macho na kila.la kheri kama usemi wako n kutoka moyoni

Tulilia sana yanga na marefq kubeba Simba ukadmka na press conference anaepiga makele ya marefa uwanjaniwakacheze netball

Bado nawaza hii kauli ya moyon ama ukiwafurahisha waandishi wa habari
Si hiari yake alipewa "take care"
ndio akachiwa uraisi TFF. Uraisi mtamu
 
Kama namuona Ramadhan Kayoko na kakichwa kake kama mbegu ya ubuyu.
 
#MsasaSports
Refa Akikosea, Shughuli Yake Imeisha: Wallace Karia

Rais wa TFF Wallace Karia akizungumza wakati wa kufunga Semina ya waamuzi wa ligi kuu ya NBC makao makuu ya TFF, Karume, Ilala amesema

“Msimu huu utakuwa msimu wa tofauti sana, kwa wale ambao watafanya vizuri tutapongezana, na kwa wale ambao watakuwa wapo tofauti tutakuwa tumeachana nao moja kwa moja kwenye hilo sitanii” – Wallace Karia
Na hii ni kutokana tu na ile project yake aliyo wekeza kwa waamuzi wake Kepha Kayombo, Japhet Smart, Amina Kyando, Tatu Malogo, Shomary Lawi na Heri Sasii kufeli bila shaka. Sasa ameona ajikoshe!
 
Back
Top Bottom