Redio za Tanzania na BBC

Redio za Tanzania na BBC

BBC inanikera sana, kwa maana ya propaganda za wamagharibi na masilahi yao. Ukisikiliza BBC lazima habari za Magaidi kuchinja watu huko zikiwa katika headline. Vipao mbele vyao ni koponda nchi ambazo viongozi wao hawapatani na mataifa ya Magaribi kama Zimbabwe, Sudani , Middle East nk

Kulugha nyepesi hivi vyombo vya habari vya Magharibi zinatuzidishia UTUMWA wa KIFIKRA
 
Mystery-Spot on:Hata humu JF mambo ni yale yale.Sijaelewa kwa nini Watanzania wengi tunapenda hizo habari za udaku na hasa masuala ya mapenzi.Angalia Threads humu zinazohusu Udaku wa Kingono,comments hadi pomon,lakini member akiweka thread nzuri inayohusu mambo ya msingi ya Mtanzania hah wapi wachangiaje wachahce sana.Hicho hicho ndicho kinatokea kwenye redio,magazeti,TV,nk.!
Very true ulichokisema
 
kwanza radio stations zote zinafanaa vipindi asubuh wote magazetini baadae vipindi vya taarabu na kubishana saa saba mziki mpk saa kumi habari tena vipindi vile vile kma vya asubh na kubishana ucku wote mahaba yaan utadhani producer hua ni mmoja wanakera.
 
penitentiaries

Wewe naona umevurugwa sana tu,pili kama umetumwa waambie waliokutuma kuwa wasikutume tena kuja kupima maji kwa mguu
 
Last edited by a moderator:
Yawezekana ukawa na mawazo mazuri ila uwasilishaji wako...hasa pale mwanzo umeonesha kutokujiamini.

Eti ni heri vituo vya matangazo vijiunge na tbc,huyu jamaa naona ni mtoto wa nkamia
 
Tatizo wabongo mmezoea kuropoka tu uchumi wa Uingereza ndiyo unaendesha BBC... Watangazaji wa redio hizo wanalipwa vyema kabisa.... Uchumi wa German unaendesha Deutch Welle..... Jiulize uchumi wa Tz unaendesha TBc je kuna nini huko????? Sio sahihi kuchanganya mambo haya..... Kwa upande wa redio zipo zinazojitahidi kama RFA kuanzia alfajiri saa 11 wanakamua Sana jaribu kusikiliza ila kubwa kuna uwekezaji mdogo kwa wanahabari hasa kuwafanya wawe na mambo mengi ya kuwaelimisha raia..... Serikali na wamiliki wa media Ndio wa kuwalaumu ingawa kwa Kiasi fulani wapo Watangazaji makanjanja ambao sijui wanakula maharage ya wapiii..... Binafsi nawapongeza RFA kuanzia 11....pia redio one baadhi ya nyakati na hata clouds fm Kiasi chake

Hapo kwenye mawingu umeharibu kabisa
 
nusu mshale,nusu suluale,nusu bob marley hahaha.. kudu ncha duncha! mwanzo mwisho ni full kidele na minesooo..tumechoka!
 
unategemea nn watangazaji kma kibonde, dida, MC pilipili Benny kinyaiya, maimatha zembwela....
 
Vyombo vya habari vina mission na vission zao, ni vigumu kwa mission za Clouds media kukuta watangazaji wako serious sana na mambo ya siasa kwa sababu wao wamejikita katika kuburudisha jamii.
 
Mystery-Spot on:Hata humu JF mambo ni yale yale.Sijaelewa kwa nini Watanzania wengi tunapenda hizo habari za udaku na hasa masuala ya mapenzi.Angalia Threads humu zinazohusu Udaku wa Kingono,comments hadi pomon,lakini member akiweka thread nzuri inayohusu mambo ya msingi ya Mtanzania hah wapi wachangiaje wachahce sana.Hicho hicho ndicho kinatokea kwenye redio,magazeti,TV,nk.!
Hata huu uzi sidhani kama utazidi kurasa mbili!!
 
Back
Top Bottom