Marco Polo
JF-Expert Member
- Jan 16, 2014
- 13,344
- 21,241
Mi hakuna tangazo linalonikera kama la Joti la mzee Mwalubadu
Huwa Nikishatoa Dongo Lazima Likuumize Sana Na Sasa Najua UNALISIKILIZIA. Ungekuwa Siyo Oblivious Kamwe Usingeuliza Swali La KIPOPOMA Kama Hilo Kwa Sisi Great Thinkers Humu. Great Thinkers Huwa HATUPENDI HOJA au MASWALI MEPESI Ambayo Hata Facebook Ungeweza Tu Kujibiwa Kama Umeshindwa Pia Ku Google. Halafu Hapo Na Wewe Unajiita Ni Graduate? Shame On You.
Huwa Nikishatoa Dongo Lazima Likuumize Sana Na Sasa Najua UNALISIKILIZIA. Ungekuwa Siyo Oblivious Kamwe Usingeuliza Swali La KIPOPOMA Kama Hilo Kwa Sisi Great Thinkers Humu. Great Thinkers Huwa HATUPENDI HOJA au MASWALI MEPESI Ambayo Hata Facebook Ungeweza Tu Kujibiwa Kama Umeshindwa Pia Ku Google. Halafu Hapo Na Wewe Unajiita Ni Graduate? Shame On You.
Mie huwa napita tu! lakini huyu jamaa ni boya sana!
Walivyo na akili za ajabu wanaendelea kuutumia uzi huu kama sehemu ya kupata mlisho nyuma (feedback) kuhusu usikiizwaji wa matangazo yao. kwamba hilo tangazo la mtandao unaopotea linachukuliwaje na wasikilizaji. Tuhamie kwenye simu