Utawalipa Mishahara Yao Wewe? Na Umeonyesha Ni Jinsi Gani Ulivyo Ignorant Katika Masuala Ya Media And Communication Pamoja Na Masuala Mazima Ya Marketing And Advertising.
i might be ignorant but too much of anything is harmful. kiufupi na wewe huwajui watu
Huwa Nikishatoa Dongo Lazima Likuumize Sana Na Sasa Najua UNALISIKILIZIA. Ungekuwa Siyo Oblivious Kamwe Usingeuliza Swali La KIPOPOMA Kama Hilo Kwa Sisi Great Thinkers Humu. Great Thinkers Huwa HATUPENDI HOJA au MASWALI MEPESI Ambayo Hata Facebook Ungeweza Tu Kujibiwa Kama Umeshindwa Pia Ku Google. Halafu Hapo Na Wewe Unajiita Ni Graduate? Shame On You.
Huwa Nikishatoa Dongo Lazima Likuumize Sana Na Sasa Najua UNALISIKILIZIA. Ungekuwa Siyo Oblivious Kamwe Usingeuliza Swali La KIPOPOMA Kama Hilo Kwa Sisi Great Thinkers Humu. Great Thinkers Huwa HATUPENDI HOJA au MASWALI MEPESI Ambayo Hata Facebook Ungeweza Tu Kujibiwa Kama Umeshindwa Pia Ku Google. Halafu Hapo Na Wewe Unajiita Ni Graduate? Shame On You.
.Hii kumbe ni kero kwa watu wengi nilidhani ni mimi peke yangu,
Matangazo kweli ndio yanayolipia gharama zote za uendeshaji wa radio station, lakini yakizidi yanakuwa kero sana,
Bora basi kuwe na mpangilio mzuri wa kuyarusha hewani hayo Matangazo sio yote yanafuatana kama mabehewa ya Treni, inakuwa kero sana,
Mfano wa radio hizo ni radio Tumaini na Wapo radio, hasa kipindi cha asubuhi kutoka magazetini wanarundika Matangazo kwa fujo mpaka inakuwa kero, huwa naamuaga kubadilisha station, nani anataka ujinga!
Wabadirike bwana!
Mi hakuna tangazo linalonikera kama la Joti la mzee Mwalubadu