EasyFit
JF-Expert Member
- Jul 4, 2011
- 1,269
- 1,082
Nimekuwa nikisiliza hii redio toka alfajiri imekuwa ikitangaza tamko la Mbowe kusitisha maandamano ya Chadema nchi nzima kila baada ya nusu saa kuna nini maana si kawaida, wanasema hii imetokana na mazungumzo yanayoendelea huko Arusha kati ya M/kiti huyo na Kamshina wa makosa ya jinai nchini Kanumba.