mwanamwana
JF-Expert Member
- Aug 1, 2011
- 1,076
- 4,113
Shirika la Msalaba mwekundu limekanusha taarifa za kutofanya uchaguzi na kudai kwamba uchaguzi unaendelea vizuri hiyo tuhuma zilizotolewa ni upotoshaji zipuuzwe.
Matawi yaliyotoa report ya hali ya matawi kwa ajili ya uchaguzi!! :
Manyara✅,
geita✅
Morogoro✅
Kagera✅
Ruvuma✅
Dar ✅
Songwe ✅
Singida✅
Tanga✅
Matawi yaliyotoa report ya hali ya matawi kwa ajili ya uchaguzi!! :
Manyara✅,
geita✅
Morogoro✅
Kagera✅
Ruvuma✅
Dar ✅
Songwe ✅
Singida✅
Tanga✅
Red Cross Tanzania kwafutuka tena - JamiiForums
Taarifa zilizotukia hivi punde ni kuhusu kundi la vijana wapatao 11 wameanza mchakato wa kimya kimya kuomba serikali iingilie kati kuwalazimaisha viongozi Redcross kuruhusu uchaguzi ufanyike ama la uongozi uliopo uvunjwe na kiundwe chombo huru cha mpito kuongoza chama hicho. Inaelezwa kuwa...
www.jamiiforums.com