Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

si unajua tena adui muombee njaa,ila Real hata wakipita hapa,lazima wakwae kisiki kwa Atletico
Ili final become EXTREMELY ENJOYABLE wanatakiwa wakutane ATLETICO vs REAL MADRID hao ndiyo wapo kwenye the same heavy weight rank, lakini sio middle weight MAN CITY... Mpambanishe na uzito wa juu ATLETICO ni kuwaonea....
 
We must take advantage of every chance. Lakini Jese hana ile dynamic ya timu kabisa.
 
Aguerro anawagharimu city. Mipira yote anayopewa anapoteza. Hana skills anachofanya ni kukimbia na mpira then anapoteza. Ningekuwa mimi Coach ningempumzisha nimwingize Sterling.
Half tym 1-0
 
Bale naona kacheza vizuri so far, Ronaldo naona ana some kind of muscle discomfort. Pale mtu aliyeharibu first half ni Jese.
Kweli Jesse hayuko vizuri, ila hapa mwishoni mwa kipindi cha kwanza naona kama Bale nae anatatizo i hope halitakuwa kubwa na ataendelea

Kuna haja ya kumpumzisha Jesse hayuko vizuri leo
 
Toni Kroos made 53 touches in the first half, at least 19 more than any Manchester City player. (Yaya Touré - 34) [Opta]
 
Kweli Jesse hayuko vizuri, ila hapa mwishoni mwa kipindi cha kwanza naona kama Bale nae anatatizo i hope halitakuwa kubwa na ataendelea

Kuna haja ya kumpumzisha Jesse hayuko vizuri leo


Jese anazingua game tu, mwenzake Isco katoka kuchoma mahindi lakini angalia alivyocheza vizuri first half, na kwenye defence kashiriki vizuri tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…