Ili final become EXTREMELY ENJOYABLE wanatakiwa wakutane ATLETICO vs REAL MADRID hao ndiyo wapo kwenye the same heavy weight rank, lakini sio middle weight MAN CITY... Mpambanishe na uzito wa juu ATLETICO ni kuwaonea....
Aguerro anawagharimu city. Mipira yote anayopewa anapoteza. Hana skills anachofanya ni kukimbia na mpira then anapoteza. Ningekuwa mimi Coach ningempumzisha nimwingize Sterling.
Half tym 1-0