Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Manuel Pellegrini said:

"I did not expect more from my team"

"We pressed high but could not create, especially after Silva's injury"

"Both teams lacked creativity, but we had a better attitude and showed more desire to win the game than Real Madrid."

"We're confident of going the Bernabeu to try to reach the final"

"A goalless draw favours us, but I do not think Silva will be fit, he has a tight hamstring."


 


This old fella is confused. They showed more desire to win the game? in what sense may be?

"a goalless draw favours us", yeah right.
 
Haya mashindano huwa historia inaamua sana na pia katika timu uzoefu wa wachezaji....ni kwel jana bale alishindwa kuonyesha ukongwe wake badala yake akawa anazunguka tu nakutaka kufanya kazi kubwa yakutafuta mipira...kitu ambacho angekuwepo ronaldo huwa ana nguvu ya ushawishi wa vitendo yaan ukiwa na mpira unajikuta unampa pass mwenyewe kwa sababu anajua jinsi yakuji-position na pia ana ile temper yakufanya mipira iende mbele kwa hiyo bale alikosa hiko kias kwamba lucas akawa anakimbia sanaa na hata jesse nae alipoingia akakosa uongozi pale mbele...so unaweza sema lucas na jesse hawakupata kiongoz pale mbele...tuliwashika sana hawa jamaa katikati pale tena sana tu...kilichokosekana ni driving force vinginevyo kiufundi tulikuwa vizuri...vitu alivyokuwa anafanya bambucha marcelo mjomba ronaldo angekuwepo upande ule tungekuwa tushafunika kombe mwanaharamu ashapita....nina imani wao watakuja kwa gear yakufunguka ili watufunge wapaki basi,muhimu tukiwa vzr kiulinzi tunamaliza game mapema kabisa kabla hata mbu wa malaria hajaanza kuuma watu.....hala madrid
 
Dolores Aveiro (CR's mother during her book presentation): "Cristiano's fitness is at 80%"

"Cristiano is a bit worried. Let's hope he'll be fit to play next week and helps the team win. I hope they make the final."

"I spoke to Cristiano and he told me he'd rest to help the team next week. Cristiano's future? He stays at Real Madrid."[@AranchaMOBILE]
 
Cristiano suffers a small muscular tear. The objective is for him to start from the bench vs City. [@JLSanchez78]
 
Jesé Rodriguez suffered a blow in his shinbone and it is almost sure that he'll miss the league game in Aoneta this weekend. [AS]
 
Benzema has been ruled out of the match against Real Sociedad on Saturday.

The medical staff have prescribed rest for Benzema to recover in an attempt to be in the best shape possible for the return leg vs City.[AS]
 

If Cristiano Ronaldo plays against Manchester City on Wednesday there's the possibility he'll tear his bicep. [Onda Cero]
 
Cristiano Ronaldo's stem cell treatment has begun, but he needs time to fully recover. It's not certain if he'll play against City. [COPE]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…