Haya mashindano huwa historia inaamua sana na pia katika timu uzoefu wa wachezaji....ni kwel jana bale alishindwa kuonyesha ukongwe wake badala yake akawa anazunguka tu nakutaka kufanya kazi kubwa yakutafuta mipira...kitu ambacho angekuwepo ronaldo huwa ana nguvu ya ushawishi wa vitendo yaan ukiwa na mpira unajikuta unampa pass mwenyewe kwa sababu anajua jinsi yakuji-position na pia ana ile temper yakufanya mipira iende mbele kwa hiyo bale alikosa hiko kias kwamba lucas akawa anakimbia sanaa na hata jesse nae alipoingia akakosa uongozi pale mbele...so unaweza sema lucas na jesse hawakupata kiongoz pale mbele...tuliwashika sana hawa jamaa katikati pale tena sana tu...kilichokosekana ni driving force vinginevyo kiufundi tulikuwa vizuri...vitu alivyokuwa anafanya bambucha marcelo mjomba ronaldo angekuwepo upande ule tungekuwa tushafunika kombe mwanaharamu ashapita....nina imani wao watakuja kwa gear yakufunguka ili watufunge wapaki basi,muhimu tukiwa vzr kiulinzi tunamaliza game mapema kabisa kabla hata mbu wa malaria hajaanza kuuma watu.....hala madrid