Salamander
JF-Expert Member
- Dec 7, 2012
- 28,536
- 15,751
- Thread starter
-
- #17,301
Hawa tunawapiga 3 au 4...
Kwan derby lazima timu zifungane ndo inakuwa derby unajua maana ya derby ww na mashaka n uelewa wako wa mpiraDerby gani wakat toka 1997 timu haijawai wafunga
Yah...modric aingie hapo awatulize watt
Mijamaa inapiga kiatu hatari tupu