Real Madrid will NEVER ever be like Barcelona,wataendelea kusherehekea na kujivunia historia yao ambayo ndani ya miaka 15 barcelona wanaenda ivunja! Hii fukuza fukuza haijengi.
Hii nafasi Ilikua ya Zidane tangia Carlo aondoke, sema ule uoga Ndio ulisababisha asubir kwanza.., so kazi imeanda kwa aliyekua ameandaliwa.. Hope stress zitaisha sasa..
Hii nafasi Ilikua ya Zidane tangia Carlo aondoke, sema ule uoga Ndio ulisababisha asubir kwanza.., so kazi imeanda kwa aliyekua ameandaliwa.. Hope stress zitaisha sasa..
Zidane ajiandae, Real Madrid hawatomvumilia ati kwa kuwa aliwahi kuwa Club Legend, kama hana matokeo mazuri ajue kuwa kilichompata Rafa hakitamkwepa. Tena Kwake itakuwa ni kwa aibu kubwa na CV yake itaanza kwa kufeli
Hili ni kosa litakalo wagharimu zaidi real madrid. Kumpa zidane kuongoza kikosi cha kwanza ni kumtwisha mzigo ambao naamini hauwezi. kama hali ndio hivyo sitashangaa Giggs kupewa United aifundishe, naamini hawakuzingatia uwezo na uzoefu bali ulegendary wake paale madrid. Huu mzigo jamaa hauwezi.