IamMrLiverpool
JF-Expert Member
- Apr 27, 2014
- 4,822
- 7,323
Neur kama vile kichwan mwake anasema,leo sitaki aibu ndogo ndogo kwa watoto nyie...
Hii timu tujipange upya tu, kuna kazi kubwa ya kifanya kwa misimu mitatu angalau
Dadaq kenge ni livakuku unapigwa home and away mnahaibisha soka la EPL🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Safi sana na bado kenge nyie nawachukia mno yaani akitoka shetani na ccm mnafata nyie kwa kuwachukia kenge wakubwa tena
Hamna kitu,2-2, kama ni hivi basi hatustahili kuvuka hapa.
Na hata buyern nae hastahili
Maana kwa hizi kuta mbovu daah.