Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Ni kweli tuna beki mbovu ila hawa volcano ni wa moto

Dakika za jioni hizi wanatupeleka balaa.. wangekua wanakaza hici kila mechi wangefika mbali
 
Lakini wajameni angalieni tena goli la Vini jr. Huyu mwamba angekuwa na utulivu kichwani kama ule wa Toni Kroos au Marco Asensio angewatandika kila siku. Tatizo huyu kichwani ana utoto sana
 
Lakini wajameni angalieni tena goli la Vini jr. Huyu mwamba angekuwa na utulivu kichwani kama ule wa Toni Kroos au Marco Asensio angewatandika kila siku. Tatizo huyu kichwani ana utoto sana
Ni mchezaji mzuri ana uthubutu, skills na mwepesi sema ndio hivyo hana adabu na waliomzunguka wanamlea sana.

Ilitakiwa awe chini ya kipara Pep au Mourinho angenyooka huyu.
 
Ni mchezaji mzuri ana uthubutu, skills na mwepesi sema ndio hivyo hana adabu na waliomzunguka wanamlea sana.

Ilitakiwa awe chini ya kipara Pep au Mourinho angenyooka huyu.
Ancelloti ni muoga sana kuwakaripia wachezaji wake., yaani hata Zidane tu anamshinda,
Ile game ya juzi tulipata sana shida dakika za jioni kwasababu hatukutumia nafasi tulizozipata vizuri.,
 
Lakini wajameni angalieni tena goli la Vini jr. Huyu mwamba angekuwa na utulivu kichwani kama ule wa Toni Kroos au Marco Asensio angewatandika kila siku. Tatizo huyu kichwani ana utoto sana
Ninatamani kesho apate huo utulivu, maana tunahitaji utulivu wa kila kitu kesho, Cholo ninajua atafanya kila analoweza hata ikibidi nje ya uwanja ili washinde,
 
ATLETICO watacheza kwa discipline sana, watajihami, watatumia LB & RB (backs), na wings wao kuwa aggressive

Simeone always ni defensive na anajua kuwajenga kisaikolojia wachezaji wake. Wakatalani wako vizuri lakini juzi tu hapa ka score mara 4. Kwahiyo kesho game itakuwa ya kusisimua.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…