Hii game inanikumbusha el clasico ile ya ligi tuliyopigwa 5.
First half Mzee aliingia hivi hivi na 4:4:2 kama nilivyotabiri mwanzo.
Na tulishambulia sana tukakosa nafasi sana.
Second half kabla haja switch kwenye 4:3:3 yake barca wakawa wametuwahi chuma za maana.
Sasa na leo akichelewa kubadili mfumo au wachezaji, biashara inaisha tukiwa na hasara.
Hakuna anaechezesha timu, Ceballos yupo bize na de bryne Bellingham yupo hoi, Camavinga alikua haeleweki anacheza ninj kaonekana dakika chache tu mwishoni.
Tunahitaji mabadiliko ya mapema Walau Mchezaji mmoja mwenye mbio mbio kama diaz aingie kupush timu.