Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Upo sahihi kabisa mzee
 
Game ilikua nyepesi toka mwanzo ila mzee ndio anazifanya game kama hizi kua ngumu.

Ningesikitika sana kama tungepoteza mbele ya Dortmund hii tena nyumbani
 
Naichukia Real Madrid. Ikitoka Shetani CCM na polisi wa Tz wanafuata Madrid kwa kuwachukia
 

Mkuu tatizo la Arda hawezi kufanya defensive duties, sasa kwenye timu kuna Mbappe na Vini ambao wote ni wavivu unafiki ni salama hapo kuengeza na mtu wa tatu? kocha yupo sahihi kwenye hilo.
 

mutaelewa tu, itafika muda tutaongea lugha moja.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…