Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Walau wewe umeheshimu kazi aliyoifanya Jude, alicheza vzr tofauti na last match
 
uyo mtoto ni mshamba sjui kwanin uwa anakuja kweny hii Nyuzi iyo game yenye inawezekana ata hajatazama ila kubwabwaja ndio kanachojua afu kana ujuaji Mwingi sana

acha matusi mkuu, zungumza football, Unaanzaje kumwita mtu Best Player wa timu ambaye kazi yake anagaragara tu uwanjani?
 
Aisee Jana sikuwai kujua Bellingham anajua kukaba vile, jamaa anaziba njia utadhan pure beki.
 
Trent kwa pressure Kama ya leo Lazma angekua uchochoro

tunapenda mihemko sana, hawa wachezaji wanaokuzwa na Media tunawapa mawuwa wasiostahiki kabisa. Jamaa ukimtizama kwa umakini kidogo tu unagundua kuwa hapana beki pale.
 
Thierry Henry: “Nafahamu Manchester City waliumiliki mchezo, lakini namna Real Madrid walivyokuwa wanazuia ilikuwa ni namna ya kushangaza.

Kuna kitu kinaitwa kuzuia (kukaba). Unaweza kuutawala mchezo na usizuie vizuri. Natambua kwamba watu watasema Manchester City ilikuwa ni timu bora uwanjani, lakini kuzuia ni sehemu ya mchezo. Nadhani timu bora ni ile timu ambayo ilikuwa inazuia vizuri na wamefuzu kwenda hatua ya nusu fainali.”
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…