Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread


bila ya kuwa na wachezaji wazuri wakupiga hizo cross ni bure tu, Kumbuka Lukaku akiwa chelsea na anavyocheza akiwa Inter.
 
Umepewa mfano umeleta tena mada
chief

hapana, na mimi nimeleta mfano. Real Madrid pana tatizo kubwa sana la ku create nafasi kwa Center forward. Benzema ana cover sana hilo tatizo kwa vile yeye mwenye hua ana involve vizuri kwenye build up. Jovic alifunga magoli matatu ndani ya misimu mitatu akiwa Real Madrid, wakati amefunga 13 msimu huu Fiorentina akiwa na role hiyo hiyo aliyokuwa nayo hapo real ya kuwa backup striker.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…