Ndio maana inaitwa team alichokua anakifanya benzema sio kwamba alikua anafanya peke yake. Uchezaji wa timu unaweza badirika kulingana na wachezaji, game plan.
Huwezi kua na striker mzuri kwenye header afu timu msitumie mipira ya cross katika kujaribu kuscore.
hapana, na mimi nimeleta mfano. Real Madrid pana tatizo kubwa sana la ku create nafasi kwa Center forward. Benzema ana cover sana hilo tatizo kwa vile yeye mwenye hua ana involve vizuri kwenye build up. Jovic alifunga magoli matatu ndani ya misimu mitatu akiwa Real Madrid, wakati amefunga 13 msimu huu Fiorentina akiwa na role hiyo hiyo aliyokuwa nayo hapo real ya kuwa backup striker.