Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Official Announcement: Pablo Laso​


Real Madrid C. F. confirm our coach Pablo Laso has been admitted to the Sanitas La Moraleja University Hospital after suffering a heart attack in the early hours of this morning

Animo Laso 🙏
 
Source ni Kitenge sports?

Kwani nyie wenzetu mnatumia kiungo gani kufikiri?
Kisu kimegusa mfupa. Sifa ziliwaponza sasa kuleni jeuri yenu. Mungu wenu na rais aliyepita amewaponza. Bado hamjaanza kukodisha masufuria sisi waanswar tuje tukodi eid ijayo. LoL
 
Wanasema chizi akibeba nguo zako akakimbia nazo, na wewe ukaamua kumkimbiza ukiwa uchi, basi wewe ndio utaonekana chizi zaidi.

Kwa ulichokiandika, umeonyesha vile umeamua kunitoa ufahamu kama huyo mwehu uliemquote!
Pole mkuu
 
mkuu mbona unajisahaulisha kwamba madrid ndo ilikuwa michezo yenu hii mastar wote mnawachukua nyie
Una Messi, una neymar, una dimaria, una mbape.

Bado TU unamtaka touchmen


Tamaa za fisi hizi,
Ndo maana hawafanikiwi
 
. Kwahiyo tofauti yake na Lukaku ni assist mkuu? Sasa kwanini alinganishwe na Benzema?
Me sijasema issue ya kulinganishwa na benzema... hata reply yangu hapo juu nimeappreciate kwamba benzema ana msimu bora ila ata kama messi hana msimu mzuri sio mmlinganishe ns mtu wa kilo mia
 
Me sijasema issue ya kulinganishwa na benzema... hata reply yangu hapo juu nimeappreciate kwamba benzema ana msimu bora ila ata kama messi hana msimu mzuri sio mmlinganishe ns mtu wa kilo mia
Statistical ndio yupo level hiyo mkuu, sasa tumlinganishe na nani? Hujasema issue ya kulinganishwa na Benzema ila hiyo ndio ilikua conversation uka chip in..
 
Statistical ndio yupo level hiyo mkuu, sasa tumlinganishe na nani? Hujasema issue ya kulinganishwa na Benzema ila hiyo ndio ilikua conversation uka chip in..
Nimerefer replays zangu zilizofata mbona...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…