lembu
JF-Expert Member
- Dec 31, 2009
- 19,380
- 25,480
The goal was scored after a scrum in front of the Liverpool goalmouth in which midfielder Fabinho failed to clear the ball. The ruling was that while Fabinho was the final player to touch the ball before Benzema’s goal, he didn’t “deliberately” touch the ball when Benzema was in an offside position.MKuu hapo ndipo kwenye hoja kuu, yule haukumgonga bali aliucheza katika harakati za kuokoa. Hiyo ishu mpaka huko ulaya imezungumzwa sana na kumwagiwa povu, imezimika kwa kuwa Real Madrid wameshinda game, bila hivyo ingelileta ni Contravention kubwa sana.
Generational Marketing | Tourism Tiger
Different generations have different travel needs and desires. This article shows what you need to know when selling your tours to them.
According to the official Laws of the Game:
"A player in an offside position receiving the ball from an opponent who deliberately plays the ball, including by deliberate handball, is not considered to have gained an advantage, unless it was a deliberate save by any opponent."
Ule mpira Fabinho hakukusudia kuucheza, mpira ulimfuata ghafla ukamgonga na kudivert kwa Benzema, refa na VAR wako sawa. Waandishi wanakuza kwa sababu ndio kazi yao media content zao ziuzike