Huyu galasa atolewe mkopo, huyu ni gari la mkaaAmeahidi kuwa msimu ujao atajituma kwa nguvu zake zote., bado anaamini atafanikiwa ndani ya Real Madrid.
Hana nia ya kuondoka, na ameshamwambia Ancelotti kuwa bado anatamani kubaki, anaamini hajamaliza kazi iliyomleta, acha tuone, bado ana misimu miwili zaidi kwenye mkataba wake.Huyu galasa atolewe mkopo, huyu ni gari la mkaa
Hasa huyu rais wa Madrid simdai chochote huyu mwamba mpaka anaenda kaburini. Pale Hispania ni mtu anaheshimika sana kutokana na misimamo yake.sijawahi juta kua fan wa Los blancos
Uwanja umepelekwa wapi?Hasa huyu rais wa Madrid simdai chochote huyu mwamba mpaka anaenda kaburini. Pale Hispania ni mtu anaheshimika sana kutokana na misimamo yake.
Kule uliko uwanja wa REAL MADRID umejengwa pale kwa mawazo yake. Alipingwa sana kupelekwa huko uwanja. Lakini sasa ni mji mmoja maarufu sana
Hapana, mikataba yao imeisha ndani ya club, so wataungana na Gareth Bale kutafuta nafasi sehemu nyingine, Marcelo haijajulikana ataenda wapi, ila Isco kuna uwezekano akajiunga na Real BetisCesar Caspar
Kwani Marcelo na Isco wanastaafu?
Labda kama anamaanisha Real Madrid City., acha aje atufafanulie alichokuwa anamaanishaUwanja umepelekwa wapi?
Marcelo yawezekana Asicheze kabisa ulaya Ameshasema hataki ije kutokea awakabili Real MadridHapana, mikataba yao imeisha ndani ya club, so wataungana na Gareth Bale kutafuta nafasi sehemu nyingine, Marcelo haijajulikana ataenda wapi, ila Isco kuna uwezekano akajiunga na Real Betis
Upo sawa mkuu japo hajafikia ile record ya President Santiago Barnabeu ya miaka ile lakini the old man ameifanyia makubwa sana Sana Madrid expecally on his second term as President of Real Madrid.Hasa huyu rais wa Madrid simdai chochote huyu mwamba mpaka anaenda kaburini.
Umemuona Gareth Mzee wa Wales, Golf then Madrid 😀😀😀 dah sijui jamaa anaenda timu gani huyu I will remember him kwa lile goal lake against Liverpool 2018.
Kiukweli baada ya Santiago Bernabéu, anyefuata kwa juhudi nyingi kama Rais ni Florentino, jamaa anajali mambo ya club kuliko hata mishe zake., kuna siku jamaa alisema kuwa Florentino akiona kwenye Forbes team imeshuka huwa anawavutia wire mazima kuwauliza, Real Madrid imezidiwa kwenye nini na huyo namba moja., ila yeye akishuka kwenye nafasi za wenye mkwanja wala hajali.Upo sawa mkuu japo hajafikia ile record ya President Santiago Barnabeu ya miaka ile lakini the old man ameifanyia makubwa sana Sana Madrid expecally on his second term as President of Real Madrid.
Alikuwepo na alikuwa anashangilia na wenzake., wanadai kuwa anarudi Uingereza.,Umemuona Gareth Mzee wa Wales, Golf then Madrid 😀😀😀 dah sijui jamaa anaenda timu gani huyu I will remember him kwa lile goal lake against Liverpool 2018.View attachment 2244438
Huyo hapa tena.,Umemuona Gareth Mzee wa Wales, Golf then Madrid 😀😀😀 dah sijui jamaa anaenda timu gani huyu I will remember him kwa lile goal lake against Liverpool 2018.
View attachment 2244438
Marcelo sioni tatizo akiendelea kubaki Madrid.Hapana, mikataba yao imeisha ndani ya club, so wataungana na Gareth Bale kutafuta nafasi sehemu nyingine, Marcelo haijajulikana ataenda wapi, ila Isco kuna uwezekano akajiunga na Real Betis
Namkubali sana marcelo ila kwa staili ya uchezaji wake na Mendy bora marcelo tumpe heshima aende free. Mendy ni kijana ana nguvu ya kupanda na kushuka. Uwezo wa Mendy naamini unaoneka no DOUBT.Marcelo sioni tatizo akiendelea kubaki Madrid.
Ule upande wa kushoto kuna beki gani wa kupanda na kushuka anamzidi!
Ndio yule Mendy? Aaaah hata simkubali kivile...
Hata Isco mbona anapiga kiungo fresh tu.
Hapo wa kusepa ni Bale tu. Wengine wabaki.
Brother mbona unataka tuuze wachezaje wengi hivo wakati tumesajili mmoja tu so far (Rudiger).Namkubali sana marcelo ila kwa staili ya uchezaji wake na Mendy bora marcelo tumpe heshima aende free. Mendy ni kijana ana nguvu ya kupanda na kushuka. Uwezo wa Mendy naamini unaoneka no DOUBT.
Kwa suala la ISCO ni mzuri akiwa na mpira ngojea timu iwe inashambuliwa asee jamaa hakabi aseee hawezi kucheza defensive. Nae aondolewe free akapate timu anayoona itamfaa. Hata barca wanamtaka ISCO hata leo aende hata huko sawa tuu.
Bale na Harzard nao watupishe aseee. Luka jovic na Mariano wasisahaulike wauze tuu
Naona VAR na refa walichukulia ule mpira ulimgonga mchezaji wa liver ndio ukaenda kwa Benzema, kama ni hivyo ile ilikuwa offside halali
Naona kwenye sheria za mpira kuucheza mpira ni hadi kuwepo na intent/kusudio la kuucheza kitu ambacho jana beki ambaye mpira ulimgonga hakuwa na harakati yeyote ya kuucheza ule mpira badala yake ulimgonga ukadivert kwa Benzema ambaye alikuwa offiside