Dembele anamfanya anachotaka, hata goli la kwanza limetokea upande wake, nimeshangaa badala aende kumbughudhi Dembele asipige mpira yeye akamwachia nafasi.,
Ila kiukweli team imepwaya sana, kwenye kiungo nilidhani tutapata advantage ya kucheza Wanne kumbe ni shida tu, kama inawezekana Kroos apumzike aingie Camavinga ili tuweze kutengeneza mipira vizuri kutokea kati kati.,