Hello Madridistas, baada ya International break kupita, Sasa tumerudi tena kwenye club football, Leo tupo ugenini dhidi ya Granada.
Tumaini ni moja tu ushindi!!
"We are approaching the home stretch of a dream: the transformation of the Santiago Bernabéu. We're preparing to conquer the future once again and we're rebuilding to get back to winning ways. It's a time to rediscover that hope, move forward bravely and remain more united than ever. This is the best club in the world. With this badge and these colours, we never give up.
President Pérez akiongea na wanachama kwenye Mkutano Mkuu wa club,
#HalaMadrid!!
Modirc anacheza kama ana miaka 24 energy ya kutosha skills, foot work, accuracy, efficiency yaani jana kaupiga mwingi kama ndio katoka academy anasaka number
Modirc anacheza kama ana miaka 24 energy ya kutosha skills, foot work, accuracy, efficiency yaani jana kaupiga mwingi kama ndio katoka academy anasaka number
Kabisa man, jamaa bado yupo vizuri utadhani ana miaka 28 hivi, kuna taarifa nimeona kuwa club inataka kumuongezea mwaka mmoja tena kwenye mkataba wake, kuna vitu viwili angependa kuvitimiza, kwanza angependa kucheza kwenye Uwanja mpya pindi utakapokamilika rasmi, na pili kutundika daluga akiwa bado anaichezea Real Madrid.