Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Ni aina gani ya mfumo Zidane atakaotumia second leg inategemea na uwepo wa either Mendy ama Valverde, ninasema hivyo Kwa kuwa ukiwa na Mendy unajua upande wako wa kushoto upo safe na Valverde anaongeza kasi ya mchezo pamoja na pressing, Sasa ukiwa na nyongeza ya aina ya hao vijana utaona ni namna gani game itabadilika, ina maana Kroos na Luka watatoka kuziba nafasi za wings back wetu wao kazi yao itakuwa ni ku detect tempo ya game tu. Tusiongee acha muda utaongea, mabdiliko mtayaona.
 
Sawa mkuu tusubiri tuone
 
Ule mfumo tulioanza nao,ni mfumo mbovu sana..yaan tusiurudie...timu yoyote ukifanikiwa kukamata eneo la kati umemaliza kwa kiwango kikubwa,jana kumuacha Kante atawale pale kati ndio alitulaza na viatu.

Sent from my SM-A715F using JamiiForums mobile app
 
Ninadhani baada ya dakika 3 za mwanzo za game alijua tu amezingua, match dhidi ya Real Betis kipindi cha pili alibadili mfumo tukacheza kama alivyoanza jana na team haiku cheza poa kabisa chakushangaza akarudia huo mfumo dhidi ya Chelsea.
Siku tumecheza huo mfumo tukafanikiwa nyuma alikuwa Mendy Nacho na Militao, halafu pembeni alikuwa Marcelo na Vasquez, mara nyingine zote huu mfumo umetuletea shida.
 
Real Madrid defender Marcelo could be prevented from playing in next week's Champions League semi-final second leg at Chelsea after being chosen to work in a polling station during a regional election.

Real Madrid had appealed to the Electoral Commission but the request was denied.
#skysports#ElMundo
 
Game ya juzi ilikuwa ngumu kweli haswa physical level na ukizingatia alikuwa ametoka majeruhi ndio ikamwia ngumu zaidi, ila kwa Kuwa Mendy anatarajiwa kurejea kikosi basi Zidane kidogo atapumua kwa sababu atamwanzisha Nacho kulia nafasi ya Dani kisha hapo ataamua mwenyewe kati ya Ramos ama Militao.
 
Game juzi ilikuwa tafu sana...washenz walikuwa na Jambo lao kweli,natumai Zizu atakuja na mbinu kabambe,angepatikana mtu wa kumtia papi Kante akatoka nje ingekuwa safi sana...hata hivyo wachezaji wa Chelsea wanapambana coz wana uchu na hili kombe compared na Madrid ambayo asilimia kubwa ya wachezaji wana UEFA 4 mkononi
 
Ile team ina vijana wengi na wana speed kweli kweli, hapo ili uweze kwenda nao Sawa ni kuwa na mpira pamoja na kufanya mashambulizi ya haraka nafasi inapopatikana.
 
Barcelona walikuwa na kiporo Chao dhidi ya Granada Leo ninaona kimechacha, walishaanza kupiga mahesabu kuwa wakishida hiyo game watakuwa wanaongoza ligi, Sasa hali imekuwa sio
 
Barcelona walikuwa na kiporo Chao dhidi ya Granada Leo ninaona kimechacha, walishaanza kupiga mahesabu kuwa wakishida hiyo game watakuwa wanaongoza ligi, Sasa hali imekuwa sio
Match fixing to save fellow catalans itawaponza blaugarana maana inchi yao ile hakuna anae panda ndege zaidi ya barca mwenyewe, sasa imebidi wamwachie mwanya granada nae akacheza EUROPA futuhi. Hii itawacost
 
Our starting XI for today match;
Thibaut Courtois; Alvaro Odriozola, Eder Militao, Raphael Varane, Marcelo; Casemiro, Antonio Blanco, Marco Asensio; Eden Hazard, Vinicius; Karim Benzema
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…